nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Umeeleza vyema kabisa na kama wanaangalia zile kosa kosa za nkana kua ndio udhaifu wa beki zetu, basi ujue nkana hawana beki, maana sisi ndio tumewakosa kosa mala nyingi.Jibu nilivyokuliza..Unaipima beki kwa kosa moja, embu angalia takwimu TPL idadi ya magoli ni machache kuliko timu zote.
Na wakati na Mbabane Swallows goli 8 mbona hamkusema, Kocha ndo mwenye kujua mapungufu sio Kessy wako
By the way hakuna timu ambayo inakamilika asilimia 100% ingekuwa hivyo hakuna kufungana.
Mmmh. Uwezo gani wakati dkk za mwisho washambuliaji wa Nkana walipenya ngome yenu watakavyo. Bahati ile bana.
Wamebadili hadi intro ahahaahhaMmebadili chorus tena. Ilikuwa Nkana wanawatoa. Sasa ni waarab. Tutaelewana tu.
Yah. Inawezena pia.
Kama uliona mapungufu kwenye beki ya simba, hilo ni la mda tuSimba jana ilistahili kushinda lakini tatizo la beki lipo ndugu Yangu fuatilia vizuri wanavyojipanga wakati wanashambuliwa
Kwakweli lile goli la nkana hata mimi sikulielewaKwa kuwapa Nkana goli la offside. Bwalya alikuwa mkono mmoja offside.
Ngoja waje na Povu lao sababu kujitetea kwa Mikia kunaendana na povu. Teh tehMikia FC wataishia kuwa wa mwisho tu kwenye kundi lao.
Mkuu lengo la nkana lilikua ni kuchelewesha mda na ndio maana walipofungwa, ghafla wakabadilisha aina ya ulushajihakuna sheria inayo sema ivo, mpira uanze kabla ya maamuzi ya refa ingekua ivo basi goli zingekua nyingi sana kwenye soka. kilicho fanyika ni mahaba ya refa baada ya kuona mambo ni magumu
vp nkana hawajui kurusha mipira hadi walipo fikia hapa.
Mtateseka sana .Lini Simba aliwahi kuwa wa mwisho?Mwaka 2003 alikuwa wa mwisho?Mikia FC wataishia kuwa wa mwisho tu kwenye kundi lao.
Mbona mnatesekaMikia FC wataishia kuwa wa mwisho tu kwenye kundi lao.
Mikia FC wataishia kuwa wa mwisho tu kwenye kundi lao.
Ngoja waje na Povu lao sababu kujitetea kwa Mikia kunaendana na povu. Teh teh
Nkana walikosea mara nyingi mno kurusha mipira, tuliokuwa uwanjani tuliona hayo makosa!alionesha mapenzi waziwazi kwamba nkana hawajui kurusha
kwamba nkana hawajui faulo yatakiwa kupigwa ikiwa tu refa kapiga kipenga. yale yalikuwa mahaba tangu dk ya 1
Hahahaaa. Unaelekea kupanic sasa. Haya Mtani kila la kheri unakoelekea. πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈHii ndiyo kawaida huwa Wapiga Ramli hawaishi kujitengenezea False hope.
Mikia FC............Hii ndiyo kawaida huwa Wapiga Ramli hawaishi kujitengenezea False hope.
Goli hili filimbi haikupulizwa, na hawa ndio waliotunga sheria za marefaree.
πππ kushinda washinde wao bado na povu liwe lao. Hatari sana.Mikia FC............
Migongo wazi wanateseka.Mikia FC............