Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

sio kosa sema makosa tena ya upendeleo wa wazi wazi akimbiwa anazingua anajifanya kutandanza kadi
 
Thubutu .Aingize nyoro hapo?Saizi yake Tukuyu Stars kwenye kombe la shirikisho.
 
Wewe jamaa naona una ujinga unakusumbua sana...acha uzwazwa wewe!
Fifa kama fifa inasheria zake ambazo zipo 17, tambua hizo ni sheria na si kanuni!
Maana naona unajichanganya sijui unasema kanuni za fifa!
Kanuni zinakuwa ni za mashindano, mfano tpl kuna kanuni zake na hizi hazihitilafiani na sheria za fifa!
 
Miaka mitatu Yanga ilikuwa bingwa wa Tz mfulilizo hujui ilicheza lini?
Lakini kwa nini ujue wakati wewe Haikuhusu?
Hahaaaah jinga kweli wewe...ilicheza but haikufikia hatua aliyofikia simba....lile lilikuwa ni kombe la CAF..hii tunazungumzia ligi ya mabingwa barani africa...yanga ilitolewa huku mwaka jana ndo ikaenda kule caf...hata hao nkana tuliowatoa jana wanaenda kule CAF(viti maalumu).....leo bila shaka nimetoa ujinga kichwani kwako
 
Ndugu zangu wa Yanga ndio tunapambana na timu inafanya vizuri kipindi hiki lakini kuna haja ya mageuzi makubwa kufanyika hasa suala la uwekezaji wa maana. Mafanikio ya Mikia yawe somo kwenda kwamba siku zote utavuna ulichopanda. Nakataa kukubali kwamba Simba yeye ndio anayaweza haya mashindano. Jiulize toka mwaka 2002 leo ndio anafanikiwa kutinga hatua ya makundi. Ni nguvu ya usajili, nguvu ya pesa. Vilabu vikubwa vyote vimewekeza pesa nyingi sana kwa ajili ya haya mashindano na ni ngumu sana kuchuana nao kama una kikosi dhaifu.

Rejea kipindi Manji bado yupo na timu, tulitinga hatua ya Makundi mara mbili. Sio kwamba tulibahatisha bali tulistahili kutokana na uwekezaji uliofanyika.

Mwisho naiombea Mikia ipewe kundi jepesi ili iendelee kutuwakilisha Watanzania.

Kundi A :

Esperence
Tp Mazembe
Al Ahly
Simba
 
Mkuu unajua wanaojua mpira kupitia Inst na Magazeti ndo walivyo

Hata hivyo kwa mukhutadha huo umemaliza kila kitu hapo.

Nakunywa juice tu hapa kuona WanaSimba wanajua mpira na uchambuzi vilivyo..SimbaNguvuMoja
 
Maneno hayo Sesten usije kuyakataa hasa pale utakapojiona katika uliopangwa nao we ndio unakuwa mshika mkia.
Wasiwasi huo ulipaswa kua nao kama timu ambayo imefuzu kucheza hatua ya makundi ingekua timu ya Chura FC maana mgekua na mchecheto mwanzo mwisho

Lakini unapozungumzia Simba SC ni habari nyingine hujue Shadeeya

Hao Waarabuk kila wakati tukikutana nao Taifa pale tunawapakata na kuwapapasa kama tupendavyo
 
Yanga haijawahi kuingia makundi klabu bingwa.
Ni simba tu.
 
Mna maneno nyie yaani Yanga walicheza "viti maalumu".Makundi ya shirikisho ni viti maalumu!!!
Wanafanisha CAF Champions league na confederation cup (viti maalum baada ya kutolewa na wale wacheza makirikiri WA Namibia township rollers )
 
Zipompa kumbe hujui kabisa mpira.hujui hata dakika ambazo zinafidiwa ni zipi....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwanini yanga mwateseka hivi? Kwa nini mnaumia? Kwa nini mnapata taabu? Nkana wamekubali yanga hamtaki kabisa kukubali.hii inakuaje?ujauzito mnapataje nyie ilhali aliyelala na simba ni nkana?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 
ujinga nnao mwingu mkuu, ujue nilishangaa hata ile mpira kuanzishwa bila ya ridhaa ya refa. ni mpya kwangu
 
Mwaka huu mtaomba sana.
Kwanza mliomba
Mbabane-out
Nkana-out
Kwanini usiombe mtokane na ukata na ujinga uliokithiri.
Jana kuna kiongozi wa matawi kutoka Zanzibar "amewalaani "wenye kupinga uchaguzi wenu.
Wewe uko kundi lipi?Isije ikawa upo kwenye kundi "lililolaaniwa"?
Mna matatizo kila kukicha lakini mpo obsessed na Simba.
Kama sio laana sijui ni nini?
 
wewe unaye jua mpira nambie dakika zinazo fidiwa ni zipi?

kama nkana walikubali kwa nini walimzonga refa (au kumzonga ndo tafsiri ya kukubali)

ulitaka wafanye nini zaidi ya kumlalamikia refa ujue hawajaridhika na maamuzi (zile kadi zilikuwa za kosa gani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…