Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

ADUI MWOMBEE NJAA, sitaki unafiki niliwahi kuiombea heri SIMBA Kwa moyo wangu wote Mechi yake na ATLETICO SPORTS AVIACAO ya Angola mwaka 1993 Ile ya Kina Kanka wemba, Yanda, Abilio, Amanali, Bravo(c), libenge nk LEO NIKO NA NDUGU ZANGU TUNAOUNGANISHWA NA TAZARA.
Na Kessy
 
Back
Top Bottom