Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Dar: Simba yafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba SC 3-1 Nkana FC

Refa kawabeba simba bila aibu yaelekea alipewa kitu na MO

Chura bhana!

IMG_20180216_091104.jpg
 
Punda wa nyuma kapigwa mijeledi mitatu lakini ajabu anayelia ni punda wa mbele.
Vidomodomo kwisha.
Wakuu kama mnakumbuka nilisema nitaweka milioni 2 kuna chura aliingia mkenge. Ninakwenda kuchukua milioni zake 2.Mjinga mjinga.
 
CafCL Baada ya miaka 15, Tanzania inafuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Ni baada ya Simba kuichapa Nkana FC mabao 3-1 katika mchezo wa maruadiano na hivyo kufuzu kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza uliopigwa wiki moja iliyopita nchini Zambia.

FT: Simba SC 3-1 Nkana FC (Agg: 4-3).
This one sounds so nerveous...This is Simba brother😎
 
Back
Top Bottom