Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Wale wa TCA mnakumbuka kumwaga sumu cafetaria? hasa kwa wale waliokuwa wameoa jengo fupi, ingawa siku hizi nalo limerefushwa. halafu mnamkumbuka marehemu Mzee Bukwimba? alikuwa anapenda totos sana. Nawakumbuka sana kina Chris Konga, Teddy Mwanambilimbi huyu alikuwa anapenda sana watoto hadi mwendo wake ulibadilika as if yuko shughulini muda wote, alikuwa akiwapiga korido wenzie sana.
Na wale waliokuwa wameoa mnakumbuka ile bar ya west kilimanjaro? maana huko ndo ilikuwa sehemu ya kubadilisha dayat hasa Jumatatu kama sikosei ilikuwa Ugali maharage.
Wale wa TCA mnakumbuka kumwaga sumu cafetaria? hasa kwa wale waliokuwa wameoa jengo fupi, ingawa siku hizi nalo limerefushwa. halafu mnamkumbuka marehemu Mzee Bukwimba? alikuwa anapenda totos sana. Nawakumbuka sana kina Chris Konga, Teddy Mwanambilimbi huyu alikuwa anapenda sana watoto hadi mwendo wake ulibadilika as if yuko shughulini muda wote, alikuwa akiwapiga korido wenzie sana.
Na wale waliokuwa wameoa mnakumbuka ile bar ya west kilimanjaro? maana huko ndo ilikuwa sehemu ya kubadilisha dayat hasa Jumatatu kama sikosei ilikuwa Ugali maharage.
Tupo kamanda. pale mie 1992 mpaka 1996. mechanical engineering. namkumbuka sana marehemu mwl. Flowin Sapula. Dr. Zakaria Mganilwa yupo SUA sasa hivi. kuu alikuwa Mr. Msoma
Wale wa TCA mnakumbuka kumwaga sumu cafetaria? hasa kwa wale waliokuwa wameoa jengo fupi, ingawa siku hizi nalo limerefushwa. halafu mnamkumbuka marehemu Mzee Bukwimba? alikuwa anapenda totos sana. Nawakumbuka sana kina Chris Konga, Teddy Mwanambilimbi huyu alikuwa anapenda sana watoto hadi mwendo wake ulibadilika as if yuko shughulini muda wote, alikuwa akiwapiga korido wenzie sana.
Na wale waliokuwa wameoa mnakumbuka ile bar ya west kilimanjaro? maana huko ndo ilikuwa sehemu ya kubadilisha dayat hasa Jumatatu kama sikosei ilikuwa Ugali maharage.
Mkuu Chrispin,
Mie nilikuwa mwaka mmoja na marehemu Method Mogella na marehemu Saleh Sonda. Sonda alikuwa na shabaha kwenye miguu yule mtu ni hatari. Mzee Lugundi na misosi yake alikuwa hana noma. Tulikuwa tunawahi mapema kupata Top Layer na "ng'ombe". Ng'ombe ilikuwa linyama likubwa na mifupa..... ukiondoka nalo watu wanaanza kupiga makelele, buuuuu....
Nimepata habari juzijuzi kuwa kijana mmoja wa Makelele sana akienda kwa jina la Cathbert Busumano amefariki. Sina habari zaidi ya amefariki.
Kwani huyu Chrispin hapa nu yule aliemaliza TCA mwaka 94 na kina Sumo? Mimi Robert Moshi, nilimaliza 94 lakini nikiwa Automotive Engineering, napenda pia kuwafahamisha kuwa mwenyezi Mungu aliwachukua pia kina Mzee Lugundi, na Mzee Mkongwe aliekuwa Automotive
OMG!RIP Mzee Lugundi. Alitulisha na kututunza wengi sana pale TCA. Asprin upo hapo?
Kikubwa kwa huyu Mzee ilikuwa ni Busara ua utu. Ukiacha kuwa ni Mpishi, pia alikuwa na Mzazi kwelikweli.
Utamfahamu mara kukitokea matatizo na wapishi wengine au kijana akiuguwa. Hata ukipata Mgeni, ukienda kumuona na kuongea naye, siku zote alikuwa akisikiliza na kukuambia nini ufanye. Ila mwisho wa siku unakuwa umeridhika na msaada wake.
Miaka ya 80 mwishoni kulikuwa na Mushi mwingine na kama sikosei na yeye alikuwa Robert na alitokea Mazengo. Mwanzo nilifikiri ndiye ila ulivyosema ni miaka ya 90 basi nikajua siyo.
Nafikiria siku moja tuanze mpango wa kuwakusanya Watanzania waliosema hapo na kuwa tunafanya michango ili kukisaidia kile chuo chetu kipendwa. Nategemea Mhandisi Robert Masika anafanya kazi nzuri hapo kwa sasa.
AGAIN: RIP Mzee Lugundi.
Umenikumbusha mbaaaali sana. Kina Lugundi (mzee wa misosi) Mwamafupa, Belela, Mbosoli, Mollel kina marehemu Method Mogella, Mh. George Simbachawene.(Mb) nakadhalika. Nakumbuka tulikuwa tunaenda kambi ya fisi kupata machozi ya simba kwa mama Seberee afu tunamalizia na kabia kamoja pale kwa anti kutoa harufu. TCA, kweli tumetoka mbaaali sana!
Mkuu umenikumbusha mbali. Nakumbuka utaalamu wangu wa kuvizia ng'ombe na kuvizia Top Layer. Na vile vimkate "vimbosoli". Unawakumbuka na 'vyura'? Wale wafanya usafi ambao mzee mzima ukizidiwa unakacha klasi unawavizia wakija kudeki unamvuta mmoja chumbani unafanya vitu vyako. Au tule tupishi tuliokuwa tunaleta msosi bwenini kama unaumwa. Mzee nilikuwa nazuga kuumwa ili niletewe msosi, then namaliza kazi. Hahahahahah!
Mkuu ina maana siku hizi jengo fupi limerefushwa? Ishu ya kumwaga sumu hata usinikumbushe. Nakumbuka nilikuwa mimewekeza jengo fupi, basi nilikuwa namwaga sumu vibaya sana, bahati mbaya niliyemwekeza marehemu Bukwimba akaingiza gia zake nikatoswa. Nami kwa hasira nikakamata rafiki yake. Kuwapiga watu korido ilikuwa jadi yetu chumba namba tisa, scaba scuba.
Kulikuwa na mpishi mmoja tulikuwa tunamwita form six. alikuwa hamalizi shule. Tukicheza disko na totoz alikuwa anajifanya denti na darasa alilokuwa anasoma daima ilikuwa form six. Nimeingia pale akiwa form six na nimeondoka akiwa form six bado.
ah ah ah! umenichekesha sana.. kumbee eeh! babu wajukuu wako wasikurithi huo ujanja wako
Naona umeenda kufukua thread mfu LOL
Hata kwa sasa ni upepo tu....
Hahahahaah That paka LOL. Na watu wakapiga msosi kama kawa..!''Top layer'' has always been in my memory,sitaisahau ile siku paka alivyoibuka toka kwenye sufuria,,,nimemaliza 1990 i miss those moments,,
abdu hapa
''Top layer'' has always been in my memory,sitaisahau ile siku paka alivyoibuka toka kwenye sufuria,,,nimemaliza 1990 i miss those moments,,
abdu hapa
Hebu funguka zaidi kuhusu PAKA kwenye Chungu. Kama umemaliza 90 basi wewe utakuwa Mzee mwenzangu maana nilikuacha mwaka wa Pili, 1989. Enzi hizo shida ilikuwa Maharage na zile Spinach, nilikuwa sizipendi kabisa.