Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Wale wa TCA mnakumbuka kumwaga sumu cafetaria? hasa kwa wale waliokuwa wameoa jengo fupi, ingawa siku hizi nalo limerefushwa. halafu mnamkumbuka marehemu Mzee Bukwimba? alikuwa anapenda totos sana. Nawakumbuka sana kina Chris Konga, Teddy Mwanambilimbi huyu alikuwa anapenda sana watoto hadi mwendo wake ulibadilika as if yuko shughulini muda wote, alikuwa akiwapiga korido wenzie sana.
Na wale waliokuwa wameoa mnakumbuka ile bar ya west kilimanjaro? maana huko ndo ilikuwa sehemu ya kubadilisha dayat hasa Jumatatu kama sikosei ilikuwa Ugali maharage.
Na wale waliokuwa wameoa mnakumbuka ile bar ya west kilimanjaro? maana huko ndo ilikuwa sehemu ya kubadilisha dayat hasa Jumatatu kama sikosei ilikuwa Ugali maharage.