Taarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.
Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar akiwa ameenda Ubalozi wa Ujerumani (amekamatiwa mbele Jengo la Umoja House).
Huu ni mwendelezo wa kukamata viongozi wa CHADEMA na ACT Wazalendo.
======
UPDATE: 1950hrs
Lissu ameachiwa bila masharti yoyote
=====
TAARIFA ZAIDI KUTOKA KWA MENEJA WA KAMPENI WA LISSU
Lissu akiwa na Katibu wake pamoja walinzi wake wawili alikamatwa akiwa nje ya Ubalozi wa Ujerumani ambapo alikuwa akisubiri kuonana na Balozi wa Ujerumani, Regine Hess aliyekuwa na miadi naye.
Taarifa zinaeleza kuwa Balozi alikuwa akiendelea kufanya some foreign clearance ili aweze kuonana na Lissu.
Lissu alishikiliwa kwa sababu zile zile za kuhamasisha na kuchochea maandamano ambayo yangesababisha uvunjifu wa amani.
Akiwa ameshikiliwa, inadaiwa kuwa Balozi wa Ujerumani alienda Central pia.
Lissu amehojiwa na kuachiwa na muda huu (saa mbili usiku) yuko nyumbani kwa Balozi wa Ujerumani.
Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar akiwa ameenda Ubalozi wa Ujerumani (amekamatiwa mbele Jengo la Umoja House).
Huu ni mwendelezo wa kukamata viongozi wa CHADEMA na ACT Wazalendo.
======
UPDATE: 1950hrs
Lissu ameachiwa bila masharti yoyote
=====
TAARIFA ZAIDI KUTOKA KWA MENEJA WA KAMPENI WA LISSU
Lissu akiwa na Katibu wake pamoja walinzi wake wawili alikamatwa akiwa nje ya Ubalozi wa Ujerumani ambapo alikuwa akisubiri kuonana na Balozi wa Ujerumani, Regine Hess aliyekuwa na miadi naye.
Taarifa zinaeleza kuwa Balozi alikuwa akiendelea kufanya some foreign clearance ili aweze kuonana na Lissu.
Lissu alishikiliwa kwa sababu zile zile za kuhamasisha na kuchochea maandamano ambayo yangesababisha uvunjifu wa amani.
Akiwa ameshikiliwa, inadaiwa kuwa Balozi wa Ujerumani alienda Central pia.
Lissu amehojiwa na kuachiwa na muda huu (saa mbili usiku) yuko nyumbani kwa Balozi wa Ujerumani.