peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Robert Amsterdam tafadhaliTaarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.
Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar.
Huu ni mwendelezo wa kukamata viongozi wa CHADEMA na ACT Wazalendo.
Taarifa kwa kina zinakuja...