Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Zitto ajiandae.Ningeshangaa asingekamatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto ajiandae.Ningeshangaa asingekamatwa
Tatizo, hana akili kabisaWanakosea sana.
Magufuli anajiharibia mno.
Inawezekana.Unnecessary foolish move!
Sasa nasema Kama mungu haishivyo, Bora wananchi wote watuweke ndani ,hii hakubaliki ,hakubaliki ,haikubaliki haikubaliki nchi yetu woteTaarifa za hivi punde ni kuwa Vyombo vya Dola jijini Dar vinamshikilia Ndg. Tundu A. Lissu.
Lissu amekamatwa muda mchache uliopita jijini Dar.
Huu ni mwendelezo wa kukamata viongozi wa CHADEMA na ACT Wazalendo.
Taarifa kwa kina zinakuja...
Usiwe mjinga kiasi hicho!Inawezekana.
Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.
Swali zuri,labda wameamua kuwa wawazi?Kwa nini safari hii wanawakamata wakati kipindi kile walikuwa wanawateka
Nani aliandika hii mada?Kumbe unajua.......
Wewe hadi sasa ni mjinga wa kutupwa.Usiwe mjinga kiasi hicho!
MamayoSafi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania, ...
Nasimamia ukweli, haki, uhuru, na kanuni!Nyani Ngabu haelewi anasimamia nini
Hakuna ambae hataguswa Mkuu. Wakimaliza huko nje wanaoshangilia wajiandae...Zitto ajiandae.
Jinga tu wewe!Wewe hadi sasa ni mjinga wa kutupwa.
Endelea kutukana watu mitandaoni.
Siku wavu utakapokunasa ndipo utaelewa.