MtuHabari
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 321
- 1,019
Kwani alipokuita mjinga amekutukana? Mbona amekuelezea ulivyo 100% ?Wewe hadi sasa ni mjinga wa kutupwa.
Endelea kutukana watu mitandaoni.
Siku wavu utakapokunasa ndipo utaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alipokuita mjinga amekutukana? Mbona amekuelezea ulivyo 100% ?Wewe hadi sasa ni mjinga wa kutupwa.
Endelea kutukana watu mitandaoni.
Siku wavu utakapokunasa ndipo utaelewa.
Serikali ya Magufuli ina behave kama vile haijashinda!
Nyie watu mna hasira kwelikweli.Kwani alipokuita mjinga amekutukana? Mbona amekuelezea ulivyo 100% ?
Sikiliza hiyo audio nani walipanga kumpiga risasi Tundu Lissu.Lissu alipopigwa risasi haikuwa utawala huu?
Mwisho siku anayeumia zaidi ni mwananchi wa kawaida, magufuli hata iweje hawezi kuumia yeye personally labda itokee wanaompa ulinzi wamgeuke which isnt likely to happen anytime sooner.Jiwe anajizika rasmi,hili shimo alilochimba ajiandae kuingia mwenyewe
Wewe ni mjinga wa asili , watu kama ww ni hasara tupu, watu wanakatwa vichwa huko unathubutu fungua mdomo kutetea ujingaHiyo ni kazi ya jeshi.
Nafikiri walimalizana nalo hilo.
Msamehe ana matatizo ya kupenda kupitiliza.Ona hii takataka, mbona mnashindwa nasa au zuia uvamizi wa hao magaidi wanao vamia mikoa ya kusini hapo kila uchwao??
Kosa ni kugombea rais dhidi ya "jiwe mtu" au nini? Mijitu mingine ni shida tupu.Roho mbaya na sura vile vile! Muujiza wa Burundi bora utokee tz.
Hatari sana hii... Mwisho wa siku wanaweza kuungwa kwenye ile kesi ya mauaji ya ndugu yake Mh. Wenje huko rorya!!!Hakuna sababu zingine zaidi ya zile za kisiasa.
CCM ‘imeshinda’ kwa zaidi ya asilimia 80.
Kwa nini ina behave Kama watu walioshindwa na ambao wanatumia mabavu kubakia madarakani?
Kwani kesi ya kushambuliwa iliisha?Wanakosea sana.
Magufuli anajiharibia mno.
Serikali ya Magufuli ina behave kama vile haijashinda!
Mabavu ya nini kama kweli wameshinda kihalali na hiyo mandate ya zaidi ya asilimia 80??
Vyombo vya usalama huwa wanafanya kazi masaa 24. Kama kuna njama mbaya walikuwa wanafanya mnataka wasikamatwe?Wajinga wanazidi kujivua nguo.
Inawezekana.
Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.
Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Unaota ndoto za kijinga kama nini sijui,maneno hua mnayasema na nini hua kinatokea?Serekali imedhamiria kwa dhati kujipindua yenyewe naona.