Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Akikamatwa oh wanamuonea, akiachiwa oh wanamuogopa. Kazi ipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kuwa msemaji wa serikali? Au wamekutuma uwasemee?Hiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania.
Hivyo JWTZ wanaendelea na kazi ya kupambana.
Serikali ilichofanya ni kuzima mitandao ili kuzia "abuse" katika kutuma taarifa na ujumbe.
Ikiridhika na hali itaruhusu mitandao itafunguliwa.
Sijawahi kumuamini huyo MwamiZito akamatwi usikute yeye ndio anawachomesha wenzie, Sinaga Imani nae sijui kwanini
Unataka kuwapangia shughuli za kufanya?Sasa hao walio shindwa kwanini wasitulie na wakafanya shughuli nyingine ?
Afande unamkumbuka Chakubanga miaka ile ya 80? Alikua na tabia kama hizi una-display hapaAtatoa tamko.
Hapana, naeleza nnachokiona na kukisikia.Umeamua kuwa msemaji wa serikali? Au wamekutuma uwasemee?
Takataka from CCMHiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania.
Hivyo JWTZ wanaendelea na kazi ya kupambana.
Serikali ilichofanya ni kuzima mitandao ili kuzia "abuse" katika kutuma taarifa na ujumbe.
Ikiridhika na hali itaruhusu mitandao itafunguliwa.
Machale yamewacheza dadeki... wamemwachiaaa!!Serekali imedhamiria kwa dhati kujipindua yenyewe naona.
I'm not displaying anything, I'm replying to what other members are asking.Afande unamkumbuka Chakubanga miaka ile ya 80? Alikua na tabia kama hizi una-display hapa
BOT wametumia huu uonevu kuwapora wafanyabiashara wakubwa na wadogo pesa zao wanazotumiwa toka nje mpaka wengi wakaamua kwenda kufungua A/C kenya Uganda Zambia ambapo Benk kuu za huko hawana usumbufu wala kuwadhulumu watu pesa zao kwa njia haramu kama BOTAisee. Lastly, utakatishaji fedha, uhujumu uchumi, ugaidi= No bail=Endless Investigation=Lifetime Imprisonment=This is Tanzania
Ahaaaa,safari hii mtatukana sana na kupanick sana.Huyo Msukuma changu wa malunde ni empty set.
Safi sana, akabidhi passport yetu, kibali chetu cha uwakili Tanzania.
Kawapora Nchi na bado anatumia Polisiccm kuwanyanyasa kuwabambikia kesi kesi uonevu mwingiMagufuli usiendelee kufanya haya makosa..
Umewachezea Sana rafu Sana wenzio kaa nao muyamalize.
BoT na na personal account wapi na wapi?BOT wametumia huu uonevu kuwapora wafanyabiashara wakubwa na wadogo pesa zao wanazotumiwa toka nje mpaka wengi wakaamua kwenda kufungua A/C kenya Uganda Zambia ambapo Benk kuu za huko hawana usumbufu wala kuwadhulumu watu pesa zao kwa njia haramu kama BOT
Nani aliandika hii mada mwaka 2016?Leo unamkana msukuma mwenzako uliyekuwa unampigia debe wewe na Mwanakijiji ????
Namna ya uandishi wako inaonyesha you lack a very basic human character "Msimamo" I sincerely told you in my past reply "I will keep (that particular post) in my Vaults"I'm not displaying anything, I'm replying to what other members are asking.