Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
🤣🤣🤣 Eti gunia la mahindi?!Andaaa gunia la mahindi mkuu tunako kwenda ni giza nene kwa rocket man ni tofauti na sisi na Iran wao wana akili ndefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Eti gunia la mahindi?!Andaaa gunia la mahindi mkuu tunako kwenda ni giza nene kwa rocket man ni tofauti na sisi na Iran wao wana akili ndefu
Just know: You are not alone. It is high time for Africa and African countries to define for themselves the true meaning and relevance of democracy.Nachukia Demokrasia ya Vyama vingi kwa nchi changa kama hii.
Usisahau ndiye mliyemzodoa ile mbaya kwamba ni VERY WEAK leader. "Mwenzenu mlisema mie mpolempole hivi; sasa dawa nimewaleteeni mkali!" Halafu sishangai sana maana unadhani legacy nzuri ya Rais ni "kualikwa" na "kualika" hao jamaa watesaji wa Bara la Afrika.Kuna watu toka washinde kwa Rekodi, lakini hawana raha huko [emoji23][emoji23][emoji23].
Kuna mkwere 2010 alishinda kidogo ila alikuwa anazurura dunia nzima bila matamko kutoka kwa mabeberu na White House alialikwa, na Bush na Obama walikuja Tz kama kwao [emoji23][emoji23][emoji23]..
Hata hao mawakili wake wenyewe bila shaka wanashangaa inakuaje anaruhusiwa kupitiliza kiasi hiki? Nchini mwao katu vitendo dizaini hii haviwezi kuruhusiwa wala kuvumilika.Tanzanians have to be security-conscious. An obsessive involvement of foreign actors such as Bob Amsterdam is a red flag and a huge national security concern! Lissu has been a very serious national security risk!
Madokta & wanasaikolojia hushauri sana mtu ajipe matumaini hata pale masahibu yake ni ugonjwa usioponyeka. Nawapongeza sana Watanzania kwa kufanya maamuzi ya kishujaa kuwakataa hayo madalali: ushoga, rehani kwa rasilimali, sera za kashfa, matusi na kupinga kila k2, kutumia uchochezi, uchonganishi ili kuzua tafrani na machafuko, kuendelea kudumazwa katika ukoloni wa London & Washington, kuamuliwa masuala yetu na mataifa ambayo kimsingi yameporomoka, nk.Yes patamu hapa, CCM wamempata wa kuwamaliza, tuliomba mtu wa kuua CCM sasa kapatikana nukuu ya baba wa taifa"atakeiuvunja ccm atatokana na ccm yenyewe"
uchaguzi kama huu haujawahi kutokea dunuia
Bora iwe hivyo mapemaAsipostaafu mwenyewe atastaafishwa na Israel mtoa roho.
Mzee wa malofa yupo wapi?
Viazi vitaoza mkuu.🤣🤣🤣 Eti gunia la mahindi?!
Mkuu unadhani kwanini mechi ya Yanga na Simba ilisogezwa November..!?Labda mpaka upepo huu upite,nadhani labda mpaka baada ya tarehe tano
Why obsessive? And how has Lissu become a National Security Risk?Tanzanians have to be security-conscious. An obsessive involvement of foreign actors such as Bob Amsterdam is a red flag and a huge national security concern! Lissu has been a very serious national security risk!
Daah! Noma sanaViazi vitaoza mkuu.
Jiwe anaenda kutupa kwenye bonde mda sio mrefu
Agiza chochote naja kulipia aiseeMadokta & wanasaikolojia hushauri sana mtu ajipe matumaini hata pale masahibu yake ni ugonjwa usioponyeka. Nawapongeza sana Watanzania kwa kufanya maamuzi ya kishujaa kuwakataa hayo madalali: ushoga, rehani kwa rasilimali, sera za kashfa, matusi na kupinga kila k2, kutumia uchochezi, uchonganishi ili kuzua tafrani na machafuko, kuendelea kudumazwa katika ukoloni wa London & Washington, kuamuliwa masuala yetu na mataifa ambayo kimsingi yameporomoka, nk.
Ongeza sauti, labda baali atasikia!!CCM watavuna wanachopanda..
Madokta & wanasaikolojia hushauri sana mtu ajipe matumaini hata pale masahibu yake ni ugonjwa usioponyeka. Nawapongeza sana Watanzania kwa kufanya maamuzi ya kishujaa kuwakataa hayo madalali: ushoga, rehani kwa rasilimali, sera za kashfa, matusi na kupinga kila k2, kutumia uchochezi, uchonganishi ili kuzua tafrani na machafuko, kuendelea kudumazwa katika ukoloni wa London & Washington, kuamuliwa masuala yetu na mataifa ambayo kimsingi yameporomoka, nk.
Huyo ndiyo mimi sasa.Unaakili za kipuuzi sana.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama Tanzania ni wapole sana, yaani nchi kama Rwanda, au Urusi unatukana rais matusi yote na kebehi na kuhamasisha UASI na kisha unakimbilia Ubalozi wa nchi ya kigeni bado wanakuchekea tu! Rwanda hata ukienda "Jupter" unadakwa huko huko... Ifike wakati Tanzania tuwe wakali kama ilivyokuwa enzi za Nyerere....
Watoto wa kizazi kipya eti wanaogopa vikwazo...watu tuliwekewa vikwazo hadi majivu na mkaa yakawa "colgate" sanda za kuzikia zikawa kaunda suti.....pumbavu kabisa!
Tupo 12M bisha kataaa ndio ukweliUsiseme watz
Sema wewe umeshaamua kubakwa na kila aliyesimamisha