Dar tupake rangi na tupambe daladala zetu

Yale mapambo yanaitwa grafti hata majuu hayo mambo yapo...maisha yale Kenya yapo miaka na miaka ndio maisha yao kwenye daladala na ni gharama ajabu mpaka unajiuliza hizi ela za kulipia wanazipata kihalali au???..kipindi waziri Michuki aliawabana na kuleta oda kwenye industry...sasa hayupo tena wanajiachia tu...daladala kuipamba vile lazima uwe na uhakika pesa kurudi na kule Sumatra yao haipangi nauli elekezi kama hapa...kila driva na koda wake wanajipangia nauli kulingana na muda(asubuhi,mchna n.k) ndio maana hapa Dar na kwingeniko kuyapamba vile ni hasara, hapa abiria hawachagui kama kenya cha msingi aida DCm na kadhalika likufikishe unakokwenda
 
It's not about graffiti or the colored exteriors only, it's also about comfort and reliability. They are fitted with TV screens which you can enjoy watching movies or at times watch music videos. Most have wifi connectivity and some even have tablets. It's a culture that has created thousands of jobs to so many people both directly and indirectly.
 

Beautiful.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…