Mh Lagos !!! Hapana hakuna mji pale ni upuuzi mtupu bora hata Nairobi inajitaidi !! dar shughuri nyingine muulize nyangau mkenya anashangaa dar is jumping [emoji111] MK254 akisikia dar vs Nairobi mwenyewe anajua hapo kazi anayo mana hadi anapost picha moja katika pande tofauti kutudanganyahahahahahaha! is this a joke?? dont compare a mega city of 20 million ppl with nonsense...
Iyo cement made in tanzaniaNairobee tushaanza kuwatumikisha makaburu, makajanbhai ndo next...shikamoo[emoji3] [emoji109] [emoji109] View attachment 536876
Seun anastahili kuwa na app by now!! Sijui nini kinachomtatiza, labda kuna mtu anayetaka bakshish kubwa kuputiliza au anaogopa ma 419 na hackers ambapo wanaija ni kiboko yao. Kiukweli naona level ya majadiliano yapo juu kuliko ya humu JF, kitovu cha watoa povu! Duh!Sijui kama Seun amewahi ambiwa, amewahi kuiona....siwaelewi wale.
Lakini forum enyewe iko very vibrant, ndio maana naipenda.
Oga
Seun anastahili kuwa na app by now!! Sijui nini kinachomtatiza, labda kuna mtu anayetaka bakshish kubwa kuputiliza au anaogopa ma 419 na hackers ambapo wanaija ni kiboko yao. Kiukweli naona level ya majadiliano yapo juu kuliko ya humu JF, kitovu cha watoa povu! Duh!
hahahahahaha!! ur very funny...Ligi ya bongo ni Johannesburg na Cairo hao ndiyo tujipambanishe nao
Legos ndio nini tena mkuu??? anyway, Lagos ni mji mchafu kwel kwel na hauna mpangilio ila huwezi ukalinganisha na upuuzi wa Dar....Dar inatoshea ndani ya Lagos...ina mezwa na kupotea kabisa....mji ule ni megacity...20 million ppl...and the roads are fairly good...the Lagos GDP alone is larger than TZ GDP.....mji ule ukona shida nyingi sana ila usijaribu kulinganisha na Dar.. plus wanajenga Eko Atlantic my frend just google it and see....Dar ni safi ndio ila hakuna chochote cha kulinganisha na Lagos...the population of the city is half the population of the whole of Kenya...Legos ni uchafu kwa Dar
Legos ni Nairobi ya Nigeria sababu Kibera inaendana na Legos.
Gdp5ya Lagos ni kubwa kuliko Kenya yoteLegos ndio nini tena mkuu??? anyway, Lagos ni mji mchafu kwel kwel na hauna mpangilio ila huwezi ukalinganisha na upuuzi wa Dar....Dar inatoshea ndani ya Lagos...ina mezwa na kupotea kabisa....mji ule ni megacity...20 million ppl...and the roads are fairly good...the Lagos GDP alone is larger than TZ GDP.....mji ule ukona shida nyingi sana ila usijaribu kulinganisha na Dar.. plus wanajenga Eko Atlantic my frend just google it and see....Dar ni safi ndio ila hakuna chochote cha kulinganisha na Lagos...the population of the city is half the population of the whole of Kenya...
Lagos ni kubwa ndio...lakini sio pazuri kama Dar. ..pakoshaghabagala katika sehemu Nigeria imezingua Ni paleLegos ndio nini tena mkuu??? anyway, Lagos ni mji mchafu kwel kwel na hauna mpangilio ila huwezi ukalinganisha na upuuzi wa Dar....Dar inatoshea ndani ya Lagos...ina mezwa na kupotea kabisa....mji ule ni megacity...20 million ppl...and the roads are fairly good...the Lagos GDP alone is larger than TZ GDP.....mji ule ukona shida nyingi sana ila usijaribu kulinganisha na Dar.. plus wanajenga Eko Atlantic my frend just google it and see....Dar ni safi ndio ila hakuna chochote cha kulinganisha na Lagos...the population of the city is half the population of the whole of Kenya...
ndio na ndio maana nikamwambia yule jamaa asijaribu kulinganisha mega city ya 20 million na uchafuGdp5ya Lagos ni kubwa kuliko Kenya yote
Kama mlivyo kuwa mnalinganisha Durban na kibera cityndio na ndio maana nikamwambia yule jamaa asijaribu kulinganisha mega city ya 20 million na uchafu
kweli...mji ule hauna mpangilio...ila bado mbali na Dar...Dar ina mijengo miwili mitatu hivi za maana...TPA, PSPF na nyingine nasahau jina...Lagos ina mijengo migni sana...kisha kuna Eko atlantic city coming up fast...soon, Lagos will beat South African cities...Lagos ni kubwa ndio...lakini sio pazuri kama Dar. ..pakoshaghabagala katika sehemu Nigeria imezingua Ni pale
Durban iko mbele imetushinda...sometimes ni vizuri kukubali ukweli...all SA cities are ahead of Nairobi at the moment...but Nairobi comes after SA, Egypt and Morrocan cjities..Dar badoooo sanaaaaaa...yaani mji wa miengo miwili mnaita mji tena?Kama mlivyo kuwa mnalinganisha Durban na kibera city
KWA hiyo eko Atlantic city ndo itaifanya naija kuwa mbele ya south African cities ...Hiyo eko Atlantic city ina thread skyscraper city na bado sijaona kuwa ndo inaenda kuifanya Nigeria kuwa mbele ya southkweli...mji ule hauna mpangilio...ila bado mbali na Dar...Dar ina mijengo miwili mitatu hivi za maana...TPA, PSPF na nyingine nasahau jina...Lagos ina mijengo migni sana...kisha kuna Eko atlantic city coming up fast...soon, Lagos will beat South African cities...
Ukisema Dar kuna mijengo mitatu nyie hamna ata moja sasa kama huna mature points ni bora unyamaze tu..Dar has one of the bestskylines in African cities,takes it or leave it...n dar is one of the fastest developing cities in Africa. ...sometimes show some respect banakweli...mji ule hauna mpangilio...ila bado mbali na Dar...Dar ina mijengo miwili mitatu hivi za maana...TPA, PSPF na nyingine nasahau jina...Lagos ina mijengo migni sana...kisha kuna Eko atlantic city coming up fast...soon, Lagos will beat South African cities...
Britam (second tallest in Africa), KICC, Times Towers, Co-op, Nation media, Lornho, FC mihrab, UAP tower (fourth tallest in Africa), KCB tower...mijengo hizi zote ni 20 stories plus...ukija Dar ni PSPF, TPA na hio ingine nimesahau jina...see what I mean? take a look at this picture...can you see more than 3 buildings? I cn only see the twin towers na hio hapo kando ya blue....zingine zote ni kama flat za kule Githurai yaani mijengo mbilikimoUkisema Dar kuna mijengo mitatu nyie hamna ata moja sasa kama huna mature points ni bora unyamaze tu..Dar has one of the bestskylines in African cities,takes it or leave it...n dar is one of the fastest developing cities in Africa. ...sometimes show some respect bana
asante sana mkuu...umejibu vzri sana bila ya matusi na kejeli...hata nimeshindwa kukupinga...una ungwana...ila pengine kidogo nikuulize, Lagos na Dar wapi ni wapi? 20 million mega city yaani inameza Dar na kuipoteza kabisa...wachana na SA cities...wale wako level yao ila Dar????KWA hiyo eko Atlantic city ndo itaifanya naija kuwa mbele ya south African cities ...Hiyo eko Atlantic city ina thread skyscraper city na bado sijaona kuwa ndo inaenda kuifanya Nigeria kuwa mbele ya south
Kwa kweli Lagos haina skyline kubwa kiiivyo na ukiangalia thread za skyscraper city katika skyline photos, Dsm IPO mbele ya miji mingi
..pengine Eko Atlantic city itakuwa kama water front ya Luanda and nothing more than that...
By the way majengo SI kila kitu maana nikiangalia pic na news ..Accra ipo vizuri kuliko Lagos hata NA dar
Eti zaidi ya 20 sasa kama unamacho count hapo...hua unamaneno ya ajabu sana wewe,hayo uliotaja yote Ni kwamba yanazaidi ya 40?ufala uache..Britam, KICC, Times Towers, Co-op, Nation media, Lornho, FC mihrab, KCb tower, UAP woer...mijengo hizi zote ni 20 stories plus...ukija Dar ni PSPF, TPA na hio ingine nimesahau jina...see what I mean? take a look at this picture...can you see more than 3 buildings? I cn only see the twin towers na hio hapo kando ya blue....zingine zote ni kama flat za kule Githurai mijengo mbilikimo