LetterTo MyFather
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 308
- 661
huyu mzee kwa picha ndo wa 1995!! Wakenya NyokoMkuu ni vigumu kuamin hawa watu, ni fake kila kona![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu mzee kwa picha ndo wa 1995!! Wakenya NyokoMkuu ni vigumu kuamin hawa watu, ni fake kila kona![]()
Hapa tunaongerea idadi ya watu au uzuri wa mji[emoji15] [emoji15] mana we nyangau usomeki??asante sana mkuu...umejibu vzri sana bila ya matusi na kejeli...hata nimeshindwa kukupinga...una ungwana...ila pengine kidogo nikuulize, Lagos na Dar wapi ni wapi? 20 million mega city yaani inameza Dar na kuipoteza kabisa...wachana na SA cities...wale wako level yao ila Dar????
uzuri wa mji...population pia ina matter...fikiria barabara za mji wa 20 mil...huwezi ukalinganisha barabara za lagos na zile za uchafu wa darisalamaHapa tunaongerea idadi ya watu au uzuri wa mji[emoji15] [emoji15] mana we nyangau usomeki??
Ongela kwa usafi wa fly toiletiiiuzuri wa mji...population pia ina matter...fikiria barabara za mji wa 20 mil...huwezi ukalinganisha barabara za lagos na zile za uchafu wa darisalama
Pia uchafu wa Nairobi uweziukaliganisha na Lagos.uzuri wa mji...population pia ina matter...fikiria barabara za mji wa 20 mil...huwezi ukalinganisha barabara za lagos na zile za uchafu wa darisalama
stick to the topic bruh! sasa nyie mmeanza Dar vs Lagos...sasa Nai inatokea wapi?? mna chekesha kweliPia uchafu wa Nairobi uweziukaliganisha na Lagos. View attachment 538133View attachment 538134 View attachment 538133
Africa ni SA cities, Nairobi, Cairo, Casablanca, Luanda, Lagos, Addis Ababa, Accra alafu sasa Dar ije hapo mwisho
nyie hata Accra tu inawakimbiza....sasa nenda hapa ujionee Nairobi Photos (kenya): A Beautiful East African City - Travel (190) - Nigeria
kenge ndio nini? anyway even johannesburg and mumbai has slums...but you cant compare the cities to nonsense Dares salaam...yaani mji wa mijengo miwili utadhani soko la kariakor..Kenge wewe usitujaze ufala .Nairobi hii hapa. Kenge nyagau wewe.Bisha kama hii sio Nairobi. Naombeni mniachae huyu jamaa Jay456watt nimalizane nae. Asikimbie leo.Mji mchafu Africa had I unavutia tourist kuja kuangalia uchafu wa NairobiView attachment 538151 View attachment 538150 View attachment 538149 View attachment 538148
Wewe ndounaechekesha kwakuiongekea Nairobi. Ngoja nikuonyeshe Nairobi usio ongelea.pengine niwarahishie kazi
The Most Beautiful Cities in Africa
tufanye upumbavu huo kesho....nataka kuingia kitandani...leo ni weekend nina mshikaji...sina mda wa kubishana na maskini wa LDC...Wewe ndounaechekesha kwakuiongekea Nairobi. Ngoja nikuonyeshe Nairobi usio ongelea.
ProveLagos more than $90b
Na mimi ngoja nikurahisishie kazi. Nairobi inaongoza Africa kwa kuwa na slumspengine niwarahishie kazi
The Most Beautiful Cities in Africa
Ha ha ha ha ha ha ha et kama slum za kiberaDuuu hata jukwaa lao siyo bora kama JF. Halijapangwa vizuri. Liko hovyo hovyo kama slum za kibera.
Ahaaa haaahaaa
Unataka kuingia kitandani au upo kwenye hostel za Nairobi. Hivi kweli mnalalavipi katika haya mazingira. Nyinyi siwatu bali wanyama.tufanye upumbavu huo kesho....nataka kuingia kitandani...leo ni weekend nina mshikaji...sina mda wa kubishana na maskini wa LDC...
Kwa ukubwa hata Nairobi haioni ndani kwa dsm maana Nairobi haijafikia 700 square kilometres plus expansion yake ni limited coz of national park yenu....asante sana mkuu...umejibu vzri sana bila ya matusi na kejeli...hata nimeshindwa kukupinga...una ungwana...ila pengine kidogo nikuulize, Lagos na Dar wapi ni wapi? 20 million mega city yaani inameza Dar na kuipoteza kabisa...wachana na SA cities...wale wako level yao ila Dar????