Dar vs Lagos

Dar vs Lagos

a7d3b1ab70dd502320755b1c1cee96e6.jpg
 
Acheni kufananisha Dar es Salaam na vitu vya kijingajinga.
 
Hiyo app ovyo balaa! Ilikua imevurugika, ilishinda ikigomagoma...sikuwahi itumia even once. I uninstalled it asap! Ni kirusi kile.
Nashangaa sijui kwa nini forum kubwa kama hiyo hawatatui tatizo hilo!
 
hahahahahaha! is this a joke?? dont compare a mega city of 20 million ppl with nonsense...
 
Nasikia Nigeria wana import hadi mayai kuna ukweli wowote
 
Back
Top Bottom