Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Status
Not open for further replies.
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC....
Nacheka

Good move.
 
Busara za kawaida zinamtaka Mdee na genge lake kwa sasa wachutame wasubiri muda kidogo upite then wawaombe msamaha Chadema na watanzania kwa ujumla kwa ujinga na upuuzi waliofanyishwa na Job.....
Hasa wakiona haya Ma-trilioni hayaji ndo kabisaaaa.Watawatelekeza chap sana.
 
Mkuu kama bado upo kitandani umelala amka haraka usije ukalowanisha Hilo godoro maana hizo ndoto unazoendelea kuota hazitakuacha salama.
 
Hivi mbona kila mpango unaoandaliwa na CCM huwa unagonga ukuta na mwisho wanalazimisha ushindi kwa mabavu?

Ni upungufu wa watu wenye akili au ina viongozi wasio akili na wanawalazimisha wenye akili kufuata yao?
Yote Mawili Ni sawa mkuu ....ushahidi Ni Mkakati wa kuiua CHADEMA Ulivyoshindwa kufanya kazi kwa miaka 5!
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC...
Kwa akili ya MATAGA wanaweza kufanya hayo lakini kama wamesikiliza na kuitazama hotuba ya Mbowe (Mwamba) jana usiku nina uhakika hawatathubutu.Tatizo wanajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe. Wanasahau kuwa watanzania wa sasa ni welevu wa kiwango cha kutisha.
 
Kwa afya ya Nchi mwenyekiti wangu wa CCM akutane na hawa vyama rafiki ili maisha yaendelee. Tunachafuka sana sana.
Kama ilivyotokea kwa wale viti maalumu wa CUF CHADEMA watateua sasa wabunge halali wa viti maalumu na kuwasilisha majina yao...
Yeye haoni shida kwani tukichafukwa yeye binafsi anapata hasara gani?.Anapungukiwa na nini?.
 
La CCM imekosa credibility yaani ,mwezi mmoja iliyopita Mdee alikuwa Kiongozi dhaifu,aiyefaa leo ni Shujaa anabebwa!
 
Iyo namba( 2) ndo sijaielewa....yani yeye ndo aiandae list iende tume badala ya katibu mkuu..majina ambayo hayajathibitishwa na kamati kuu?!!...mamlaka ayo kapewa na nani?!!
Aonyeshe na gati za kiapo,na wakati wanaapishwa Nani alikuwepo?
 
Kashapigwa za uso hizo ngonjera atakaxokuja nazo zitakuwa Ni kelele tu Wala watu hawatakuelewa Tena

Mdee Ni msaliti inatosha ana tamaa na pesa

Aende tu CCM [emoji1787][emoji3577]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
mkuu nini kimewasibu mbona mnatukana tu bila formula😂😃😃😃😃😂
 
Waswalile tunasema ndio imetoka,wasubiri bakora ya Magombe,yaani magombe yamefanikiwa kuwagombanisha na chama chao ,kinachofuata ni kuwapiga na chini ni suala la mida tu, kwani wangapi walihamia CCM na kupokelewa kwa kishindo ,hii leo hata wanasikika,chezea ccm tatizo mijitu yetu haisomi kutokana na yaliyowakuta wengine,kama hawa covid 19 wakiheshimika sana sana,within a day baada ya kutupwa wakipita hapo watu wanawatemea mate,msicheze na dhamana na imani wanazo wapa wananchi.

Angalau kabla ya kuapishwa wangekutana na viongozi wao ,wangekutana na waandishi wa habari lakini gafla bin vu wanaibukia kwenye vichochoro vya bunge wanavishwa vilemba vya ukoka.
 
Msaliti huwezi kumjua kama hakuna cha kusaliti

Ikitokea fursa pale hakuna Mjumbe wa kamati kuu anaeweza kukataa kusaliti
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC...
Unaaandaa mwenyewe then unapost .ujinga mtupu
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC...
the expected...... ubatili, ubatili, ubatili
 
Vioja juu ya vioja , bora tu wahamie ccm [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom