Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Status
Not open for further replies.
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Press hata Slaa na washenzi wengine wote wa aina yao walikwishafanya, So Wafanye tu
 
ALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Sawa!
Ila wake na Ushahidi wa kuridhisha Akili za wazima na wafu
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

Lazima aongee ili kutuliza mioyo ya wafuasi. Hata uongozi wa juu unaelewa hilo
 
Yatafichuka maovu mengi sana ya chadema mauaji na mipango yote ya hila manake mdee aliaminika sana ni wazi pia alishirikishwa mengi
Wewe ni wala wa shetani Jiwe!Kati ya CHADEMA na Baba yako Jiwe nani anapanga mauaji?
 
Busara za kawaida zinamtaka Mdee na genge lake kwa sasa wachutame wasubiri muda kidogo upite then wawaombe msamaha Chadema na watanzania kwa ujumla kwa ujinga na upuuzi waliofanyishwa na Job.

Otherwise-wategemee anguko kubwa sana na la fedheha mbele yao.
By the way-Job na genge lake wanawatumia kwa sasa baadae kidogo watawatelekeza kwa fedheha sana.

God bless the dead.
Mke wako angekuwa kwenye Ile list I'm sure ungemuunga mkono tu,

Hakuna anguko lolote, Tena bora wao watapata forum ya kuongea kuliko hao wakina Mbowe ambao watakaa miaka mitano kimya kabisa
 
Hivi mbona kila mpango unaoandaliwa na CCM huwa unagonga ukuta na mwisho wanalazimisha ushindi kwa mabavu?

Ni upungufu wa watu wenye akili au ina viongozi wasio akili na wanawalazimisha wenye akili kufuata yao?
Uwezo wao kufikiri mdogo sana
 
ALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Hata Kama umetunga ungejaribu kuandika point za maana basi
Hizo point za kijinga ndio ccm imwandalie mdee
Mbona hiZo point NI za wale watu wanaosutana
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Hizo ni hoja dhaifu kabisa!
 
*Wataenda mahakamani kupinga maamuzi ya kamati kuu
Hili angalau litawasaidia kidogo kuvuta muda ili waendelee kuwa wabunge wakisubiria kesi. Hili la kuongea na vyombo vya habari ni kupoteza muda tu. Chadema wamesema wamewafukuza uanachama, sasa Press itawasaidia nini??
 
Ukurasa wa covid19 umeshafungwa tumehamia zenji kwa Seif tuone naye kama atachukua maamuzi magumu kuhusu serikali ya umoja.
Ukweli kabisa mdau wacha tuhamie visiwani, Bara Kazi imeisha zingine zitabaki kelele tu, ila Chadema wamekaza hawataki ujinga kongole kwao.
 
ALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Mnajua mlichokifanya na hayo na majibu Yake, mtafaruku viti maalum ulitokea baada ya kila kigogo wakiongozwa na Mbowe kuleta mahawara ndo maana mkachelewa kupeleka majina. Mnyika alivyopeleka majina Mbowe akayakataa Sasa mnajihami maana mnajua ambacho Halima atasema mnaamua kusingizia CCM.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Wanapoteza muda wao tu, hakuna wa kuwasikiliza

Hata waseme Mbowe aliwaruhusu au Mnyika alisaini haisaiidii maana majina yao hayajawahi kupitishwa na kamati kuu

Wangekuja kikaoni wakayaleza yote hayo, lakini wote wameandika barua inayofanana neno kwa neno ili kukimbia kikao cha kamati kuu, hii maana yake wanajua wamekosea!
 
Safari Ya CHADEMA Kama mtumbwi unaoanza Kutoboka Matundu na IPO katikati ya Bahari.

Mdee na mwenzio. wameona Kabisa Maji Yanaingia Ndani Mtumbwi na Hakuna Msaada wala vifaa vya kuziba hayo matundu (ruzuku) Kwa mbali wanaona kuna Mtumbwi unakuja.

Wanajadiliana na wenzao Kuwa ule Mtumbwi unaokuja unaweza kuwa msaada kwetu manaonaje Sisi Twende ile tukalete msaada WANAUME Wanagoma .🤣😂😂😂

WADADA wanasema msitutanie Nyie Wanarukia kwenye Mtumbwi iliwapate Msaada na kuokoa Maisha yao na Hawa WANAUME wanasifiwa kuwa wanamsimamo Tukumbuke Mtumbwi ushatoboka na maji yaaningia kwa kasi Je Watafika ufukweni Au ndio watakufa KIUME.

Huwezi Kuendesha Chama Bila Ruzuku Kufikiria Kwamba CHADEMA ITAHIMILI HI MIKIMIKI NI UWONGO

R.I.P CHADEMA ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom