Dar: Wafanyakazi wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communication wakamatwa kwa kusambaza taarifa za uongo za Corona

Dar: Wafanyakazi wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communication wakamatwa kwa kusambaza taarifa za uongo za Corona

Wats app watu wanachomwa na wenzao humo humo kwny ma grupu sishani ka TCRA wana mda wa kudukua kila mtu kila dakika....

Kuna masnitch tu ukiongea wana screen shot wanatuma kunapohusika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wameajiriwa watu kujiunga kwenye makundi hayo yote?
Hao watu uliowasema wapo lakini ni wachache sana, kuanzia leo nikupe taarifa simu yako ikidukuliwa basi mdukuaji anaona na kusikia kila kitu kama wewe unavyoona na kusikia kupitia simu yako. Ni kama vile simu yako ipo mikononi mwake pia.

Hiyo End-To-End Encryption inasaidia mawasiliano yanayodakwa au kuchotwa juu kwa juu wakati ujumbe unasafirishwa toka kwa mtumaji hadi kwa mpokeaji, lakini upande wowote wa mtumaji na mpokeaji ujumbe unakuwa umefunguliwa code yani unakuwa decoded au deciphered unakuwa plain text ili mwenye kifaa(simu) aweze kuusoma au kusikia au kuona.
Kwa hivyo kama kadukuliwa mtumaji au mpokeaji basi kila kitu kinasomeka au kuonekana wazi kwa mdukuaji.
 
Ndiyo zipi? Zishatolewa juu ya hao waliotajwa? Wengine kwetu mapya haya
Hao waliotajwa utajuaje kama kweli wamekufa na corona?? Hao jamaa ni wajinga, hapo washaharibu kila kitu hadi huko kazini kwao, huwezi kimbilia moja kwa moja kupost taarifa ambayo umeisikia tu kwa washkaji zako bila kuwa na uhakika
Yale ya yule dogo aliyezusha mkuu wa majeshi kalishwa sumu kipindi cha JK ndio yanaenda kuwakuta na hawa! Tatizo mnapenda sana kusikia sikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wameajiriwa watu kujiunga kwenye makundi hayo yote?
Hao watu uliowasema wapo lakini ni wachache sana, kuanzia leo nikupe taarifa simu yako ikidukuliwa basi mdukuaji anaona na kusikia kila kitu kama wewe unavyoona na kusikia kupitia simu yako. Ni kama vile simu yako ipo mikononi mwake pia.

Hiyo End-To-End Encryption inasaidia mawasiliano yanayodakwa au kuchotwa juu kwa juu wakati ujumbe unasafirishwa toka kwa mtumaji hadi kwa mpokeaji, lakini upande wowote wa mtumaji na mpokeaji ujumbe unakuwa umefunguliwa code yani unakuwa decoded au deciphered unakuwa plain text ili mwenye kifaa(simu) aweze kuusoma au kusikia au kuona.
Kwa hivyo kama kadukuliwa mtumaji au mpokeaji basi kila kitu kinasomeka au kuonekana wazi kwa mdukuaji.
We nadhani hujamuelewa huyo jamaa, ni hivii TCRA walitoa namba za whatsapp na email ilikupokea taarifa za watu wanaozusha taarifa za corona. Hivyo hapo inaonekana kuna mmoja wa wana group ka-screenshot then akatuma huko police au TCRA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzushi SI wakufumbia macho hongera jeshi la polisi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
.
IMG_20200429_162423.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilitakiwa waweke nguvu kubwa kwenye hii vita ya Corona hiki sio kipindi cha kukamatana ni kipindi cha kuokoa maisha ya watu kila mtu kwa nafasi yake....
 
Mawasiliano ya watu private mnaingilia ya nini?Hayo ni personal
Personal wapi? Unawajua wore walio kwrnye group vizuri? Wengine polidi,usalama Wa taifa nk mmoja aweza choma sio kuingiliwa kunakuwa na MTU kwenye group anachomoa waya Wa betri
 
Ilitakiwa waweke nguvu kubwa kwenye hii vita ya Corona hiki sio kipindi cha kukamatana ni kipindi cha kuokoa maisha ya watu kila mtu kwa nafasi yake....
Kwa hiyo hata kama kuna mtu kwa makusudi anazua taharuki au anatoa taarifa za uongo aachwe tu?? Wizara ya afya mbona inapambana na kuokoa maisha ya watu, na wizara ya mambo ya ndani ndio inashughulika na nyie mnaotunga uongo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom