Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Nimeongea kwa mujibu wa mwanaikolojia kutoka The Hill!

We hapo juu si umeandika kuwa umekagua hilo eneo [emoji1] hehehehe!!?
Anyway alichosema Mayala ndicho walichosema wataalam wa Geology walioagizwa na mkuu wa mkoa.
 
Kamati ya amani au ya matapeli ya dini?
 
baadhi ya nyumba zimezama na nyingine zinabomoka. Wataalamu wanaonekana kutoa maelezo ya nadhalia badala ya kupiga kambi eneo hilo na kufanya uchunguzi wa kina.
Eti wataalamu wapige kambi kapige mwenyewe nyumba zinazama unataka na wataalamu wetu wazame hapo kwenye kambi?
 
Udsm hakuna kitu
 
Unanimalizaga Sana bwana Paskalii
 
Ni kweli ila Zima moto nao wako nyuma nyuma sana. Wanapaswa kuwaambia wenzao Polisi waliache hili mikononi mwao hadi pale majukumu ya Kipolisi yatapohitajika
 
Ndiyo ,mliwapola waathilika michango yao iliyotolewa na mataifafa ,mashirika na watu wenyeupendo waliojitolea kuwasaidia.
 
Mkuu P nahisi awamu hii msukuma mwenzio lazima akupe teuzi ,nakuomba unikumbuke kwenye ufalme wako wakati utakapokua unakula keki ya Taifa
 
Mbwembwe zote kumbe umejenga jangwani??
We nawe, ndio wale wale, jangwani ni mahali pakame hakuna mvua, nimejenga kwenye mkondo wa maji, ni njia ya maji ya iliyopo chini ya ardhi. Hizi njia ni kama mito, sometimes mito huwa inahama, na kuibukia pengine sometimes inapotea njia na kusambaa.

Watu wa uzwazi kwenye vyoo vya shimo, wanayajua sana haya mambo ya water table, ikipanda, vyoo vinafurika na kutapishwa!.
hilo tope ni kama mashimo ya choo yanatapika due to underground water table kupanda.
P
 
Kuna mtaalam mmoja wa jiolojia yuko serikali alipigia simu na ITV habar akasema hilo tope halina shida watu waendelee na shughuli zao, sasa Leo nasikia mkuu wa mkoa kaagiza watu wahamishwe, mbona wanajichanganya
 
ni kweli hii inshu inawahusu kikosi cha zima moto na uokoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…