Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,492
- 2,361
RC wa Mkoa wa Dar Es Salaam Aboubakar Kunenge awataka baadhi ya wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimeathiriwa na uji wa tope la volcano kuhama katika eneo hilo.
Chanzo: ITV
My take: Hiki ni kitu gani au ndio dalili ya volcano na madhara yake ni nini?
Chanzo: ITV
My take: Hiki ni kitu gani au ndio dalili ya volcano na madhara yake ni nini?