Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Elimu ya Tanzania ingekuwa ni bora hadi hivi sasa tungepata Majibu wa Kitaalam, ila tatizo ni kwamba Watanzania wengi tunasoma kupata GPA tu.
Mud volcanoes occur worldwide in areas of rapid sedimentation, lateral tectonic compression, and geologically recent magmatic activity. The total number of individual mud volcanoes on the Earth exceeds 2,000 and this number is growing as the exploration of deep oceans continues.

Sediments and fluids expelled from mud volcanoes provide useful information on the geology and petroleum potential of deep sedimentary basins. Mud volcanoes are considered to be a minor but yet not fully recognized and properly quantified source of greenhouse gases (mainly methane) in the atmosphere. A significant (but still uncertain) amount of methane may escape into the ocean and affect the size and characteristics of the ocean carbon pool

Finally, mud volcanoes represent a recognized geohazard that affects life forms and petroleum exploitation. This paper reviews the results of recent studies into worldwide mud volcanism.
 
Mud volcanoes occur worldwide in areas of rapid sedimentation, lateral tectonic compression, and geologically recent magmatic activity. The total number of individual mud volcanoes on the Earth exceeds 2,000 and this number is growing as the exploration of deep oceans continues. Sediments and fluids expelled from mud volcanoes provide useful information on the geology and petroleum potential of deep sedimentary basins. Mud volcanoes are considered to be a minor but yet not fully recognized and properly quantified source of greenhouse gases (mainly methane) in the atmosphere. A significant (but still uncertain) amount of methane may escape into the ocean and affect the size and characteristics of the ocean carbon pool. Finally, mud volcanoes represent a recognized geohazard that affects life forms and petroleum exploitation. This paper reviews the results of recent studies into worldwide mud volcanism.
Sasa Mkuu wangu umeambiwa Sisi Wakazi wa hapa Kunduchi Mtongani ambao ni Wavuvi na tumewekeza zaidi katika Uchawi tutakuelewa kweli?
 
Sasa Mkuu wangu umeambiwa Sisi Wakazi wa hapa Kunduchi Mtongani ambao ni Wavuvi na tumewekeza zaidi katika Uchawi tutakuelewa kweli?
Ni kweli hatuta elewa.
Samahani kwa kutumia lugha ya isiyoeleweka.
Ila kwa ufupi ni kuwa maeneo mengi yenye dalili kama hiyo Duniani uwa na uwezekano wa kuhifadhi mafuta mazito (crude oil deposi) na gesi.
Ni suala la muda tu.
La muhimu ni wataalamu wetu kufanya utafiti wa kina ikiwezekana mita 200-300 kubaini kilichoko chini ya tope hilo.
 
Wataalam wa jiolojia wa Chuo kikuu DSM, Jana sikuona wanatoa sababu za kisayansi kuhusu tukio hilo - walikuwa wana zungumza kama ma layman vile!!

Binafsi naona tukio hilo haliwezi kuwa limesababishwa na Volcano kwa kuwa hapakuwepo na moto, lojolojo ya miamba nk.
Wataalam wetu hawa wa kukariri utategemea waseme kipi cha maana...
 
Kuna mlipuko wa volkano Dar? Hebu toeni taarifa kamili na ya kueleweka. Ngoja tusubiri mabeberu - Geological Survey of America watasemaje; otherwise fake news.
kwa ubishi huu wewe utakuwa ni mmoja ya wakazi wa mabondeni
 
Elimu ya Tanzania ingekuwa ni bora hadi hivi sasa tungepata Majibu wa Kitaalam, ila tatizo ni kwamba Watanzania wengi tunasoma kupata GPA tu.

Sijui wana sayansi wetu wametoa ufafanuzi gani, lakini kama nakumbuka vizuri kanuni za kiundisi zinasema water is incompressible yaani uwezi kukandamiza maji hata siku moja, maji yana uwezo wa kukata chuma yakiwekewa pressure ya kutosha, maji yakiingia kwenye cylinder za internal combustion engines kwa bahati mbaya yakawa compressed na piston, maji yana nguvu ya kupindisha steel connecting rod, crack piston/cylinder liner - sasa hii inaleta picha gani katika tukio la Kunduchi - inaelekea maji yaliyokuwa chini ya miamba in equilibrium na pressure exerted kutokana na miamba - kama for some reasons miamba ilisogea chini zaidi na kuyakandamiza maji kwa pressure kubwa, maji yatasababisha nyufa kwenye miamba na kutoka ndani ya miamba kwa pressure kubwa na kusomba uchafu/udongo wa aina yoyote ulio kuwa juu ya miamba undogo huo utatoka kama matope kutokana geographical feature ya sehemu husika - sehemu hiyo ya Kunduchi inaonekana ni teoe tepe ndio maana nyumba zinadidimia kirahisi. My opinion, however I might be wrong.
 
Dar ni Bomu linalosubiria kulipuka..Mji huo hajapimwa asilimia zaidi ya 80 na miji mingine mikubwa na midogo inayochipukia yoote ni miji kila mtu ananjijengea anavyoamua yeye...Mojawapo ya jambo la aibu sana ni kushindwa kabisa kupima angalau miji tu basi....sasa maeneo mengi ya maji au mikondo ya maji hujazwa vifusi kipindi cha jua na kuuzwa na hivyo kutokana na Climate change mliojipimia maeneo oevu na mikondo ya maji jiandaen sawia.
 
RC wa Mkoa wa Dar Es Salaam Aboubakar Kunenge awataka baadhi ya wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimeathiriwa na uji wa tope la volcano kuhama katika eneo hilo.

Chanzo ITV

My take: Hiki ni kitu gani au ndio dalili ya volcano na madhara yake ni nini?
Wahamie wapi ? mfuko wa maafa kazi yake nini , au hela zake nazo wamenunulia magari ya kampeni kama walivyozifanyia hela za corona ?
 
Duh, kumbe wewe somo la jiogirafia limekupita pembeni, ukanda wa pwani tangulini ukawa na volkano?, Volcano ni uji wa mawe unaitwa magma ni ya moto na hutanguliwa na moshi wenye jivu jeupe kama vumbi, magma hiyo hutoka chini na moto wake ikifika ardhini hutiririka na kupoa na ndio hujenga milima ya volcano, kama Mt. Kilimanjoro, Mt. Meru na Oldonyo Lengai, kuna aina tatu za volcano, hai, pozo na mfu. Kilimanjaro ni mfu, Meru ni pozo na Oldonyo Lengai ndio hai. Mfu hailipuki tena, imekufa, pozo, imetulia siku ya siku ikifika, itacharuka, haini kule chini magma ya moto inaendelea kuchemka ila haijalipuka.

Hilo tope baridi sio la volcano, hilo ni la mitetemo tuu, kutokana vi tetemeko vya chini kwa chini!, japo mimi sio mjeolojia, lakini najua kwa kuliona tuu kwa macho, eneo hilo ni eneo la mkondo wa maji, tope hilo ni udongo wa mfinyanyanzi, ulio chini ya mkondo huo wa maji, ambao chini yake una mwamba uliokuwa semi permeable rocks, ambao siku zote unapitisha maji kwenda chini ardhini kwenye mkondo wa maji, sasa kutokana na mvua, water table ime raise, above ile semi permeable rock, hivyo kina cha maji huko chini ardhini kimepanda, sasa na kutoka juu kama chemchem, kutoka na mfinyanzi huo huko jini kuloa, umekuwa uji, hivyo sasa uji wa tope la chemchem, ndio linakuwa pushed juu na ile water table.

Water table ikija kushuka, yale maeneo ya ulipotoka huo mfinyanzi, kutakuwa na hollow pots, mvua ikinyesha na kupalowewesha udongo wa juu, utaporomoka, kama kuna nyumba zinapiga ufa hadi msingi!.

Nimeyajua haya kutokana na mimi kibanda changu pia nimejenga juu ya mkondo wa maji na chinikuna udongo wa mfinyanzi, fundi aliyenijengea, alishauri nijenge msingi wa jamvi la nondo kama msingi wa ghorofa, mimi nikamgomea, si unajua tena Wasukuma tulivyo wabishi, nikamwambia fundi, sijawahi kuona jamvi la nondo nyumba ambayo sio ya gharofa, nikalazimisha ajenga tuu, kikawaida. Fundi akajenga kwa shingo upande!. Nikahamia, mwaka uliofuta mvua za elninyo zikashuka!, kumbe kwangu ni water way, upande wa nyuma kwa jirani yangu, maji yamefika hadi dirishani, akaniomba nibomoe ukuta wangu ili kuyaruhusu yapite.

Kwa ubishi ule ule wa Kisukuma, nikamgomea, kuwa kila mtu kauziwa kiwanja kivyake, hivyo kila mtu atafute pa kuyapeleka maji yake!.
Within two days, maji ukuta jirani yamefika juu ya dirisha, kwa jirani wamehama kila kitu kimeloa, huku yamezuiwa na ukuta wangu!, Kumbe chini kunazidi kulowa na after two days, huku kwangu kukaibuka chemchemi ya matope pembeni ya ukuta wote, yale maji ya jirani yanazama jini ya ukuta na kuibukia kwangu.

Nikamuita fundi wangu, akasema lazima tubomoe ukuta kuyapa maji ya jirani njia, nikamgomea, ndipo akaniambia kutatokea mambo mawili.
1. Ukuta utaloa, utazidiwa nguvu, maji yatafunja huo ukuta, na kutoka na presha, ukuta ukianguka utabomoa nyuma na presha ya maji nyuma yangu itazolewa!.
2. Kwa sababu chini ni mfinyanzi, una very high water retaining capacity, utakuwa tepetepe, na nilijenga msingi bila nondo, nyumba itaanza kutitia na kupiga nyufa kwenye msingi, mwisho itabomoka!.

Ndipo nikakubali, tukabomoa ukuta wangu kujenga tundu la kupitishia hayo hayo maji, kiukweli hiyo pressure, ili fumua karibu ukuta wote, ule msala wa maji sasa ndio yakajaa kwangu, ikabidi na ukuta wa mbele kutoboa kuyaachia maji njia yake, yalikata hadi barabara!.
After two years nyumba ilipiga bonge la crack kwenye msingi, fundi akanionyesga, kweli nyumba ilikuwa inatitia!. Hivyo nikakubali matokeo!,


P

Pasco Mayalla Ndiye Mwana JF wa Kwanza, Kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM!

Mbwembwe zote kumbe umejenga jangwani??
 
Duh, kumbe wewe somo la jiogirafia limekupita pembeni, ukanda wa pwani tangulini ukawa na volkano?, Volcano ni uji wa mawe unaitwa magma ni ya moto na hutanguliwa na moshi wenye jivu jeupe kama vumbi, magma hiyo hutoka chini na moto wake ikifika ardhini hutiririka na kupoa na ndio hujenga milima ya volcano, kama Mt. Kilimanjoro, Mt. Meru na Oldonyo Lengai, kuna aina tatu za volcano, hai, pozo na mfu. Kilimanjaro ni mfu, Meru ni pozo na Oldonyo Lengai ndio hai. Mfu hailipuki tena, imekufa, pozo, imetulia siku ya siku ikifika, itacharuka, haini kule chini magma ya moto inaendelea kuchemka ila haijalipuka.

Hilo tope baridi sio la volcano, hilo ni la mitetemo tuu, kutokana vi tetemeko vya chini kwa chini!, japo mimi sio mjeolojia, lakini najua kwa kuliona tuu kwa macho, eneo hilo ni eneo la mkondo wa maji, tope hilo ni udongo wa mfinyanyanzi, ulio chini ya mkondo huo wa maji, ambao chini yake una mwamba uliokuwa semi permeable rocks, ambao siku zote unapitisha maji kwenda chini ardhini kwenye mkondo wa maji, sasa kutokana na mvua, water table ime raise, above ile semi permeable rock, hivyo kina cha maji huko chini ardhini kimepanda, sasa na kutoka juu kama chemchem, kutoka na mfinyanzi huo huko jini kuloa, umekuwa uji, hivyo sasa uji wa tope la chemchem, ndio linakuwa pushed juu na ile water table.

Water table ikija kushuka, yale maeneo ya ulipotoka huo mfinyanzi, kutakuwa na hollow pots, mvua ikinyesha na kupalowewesha udongo wa juu, utaporomoka, kama kuna nyumba zinapiga ufa hadi msingi!.

Nimeyajua haya kutokana na mimi kibanda changu pia nimejenga juu ya mkondo wa maji na chinikuna udongo wa mfinyanzi, fundi aliyenijengea, alishauri nijenge msingi wa jamvi la nondo kama msingi wa ghorofa, mimi nikamgomea, si unajua tena Wasukuma tulivyo wabishi, nikamwambia fundi, sijawahi kuona jamvi la nondo nyumba ambayo sio ya gharofa, nikalazimisha ajenga tuu, kikawaida. Fundi akajenga kwa shingo upande!. Nikahamia, mwaka uliofuta mvua za elninyo zikashuka!, kumbe kwangu ni water way, upande wa nyuma kwa jirani yangu, maji yamefika hadi dirishani, akaniomba nibomoe ukuta wangu ili kuyaruhusu yapite.

Kwa ubishi ule ule wa Kisukuma, nikamgomea, kuwa kila mtu kauziwa kiwanja kivyake, hivyo kila mtu atafute pa kuyapeleka maji yake!.
Within two days, maji ukuta jirani yamefika juu ya dirisha, kwa jirani wamehama kila kitu kimeloa, huku yamezuiwa na ukuta wangu!, Kumbe chini kunazidi kulowa na after two days, huku kwangu kukaibuka chemchemi ya matope pembeni ya ukuta wote, yale maji ya jirani yanazama jini ya ukuta na kuibukia kwangu.

Nikamuita fundi wangu, akasema lazima tubomoe ukuta kuyapa maji ya jirani njia, nikamgomea, ndipo akaniambia kutatokea mambo mawili.
1. Ukuta utaloa, utazidiwa nguvu, maji yatafunja huo ukuta, na kutoka na presha, ukuta ukianguka utabomoa nyuma na presha ya maji nyuma yangu itazolewa!.
2. Kwa sababu chini ni mfinyanzi, una very high water retaining capacity, utakuwa tepetepe, na nilijenga msingi bila nondo, nyumba itaanza kutitia na kupiga nyufa kwenye msingi, mwisho itabomoka!.

Ndipo nikakubali, tukabomoa ukuta wangu kujenga tundu la kupitishia hayo hayo maji, kiukweli hiyo pressure, ili fumua karibu ukuta wote, ule msala wa maji sasa ndio yakajaa kwangu, ikabidi na ukuta wa mbele kutoboa kuyaachia maji njia yake, yalikata hadi barabara!.
After two years nyumba ilipiga bonge la crack kwenye msingi, fundi akanionyesga, kweli nyumba ilikuwa inatitia!. Hivyo nikakubali matokeo!,


P

Pasco Mayalla Ndiye Mwana JF wa Kwanza, Kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM!

.Kwa kweli pasco umedadavvua
 
Duh, kumbe wewe somo la jiogirafia limekupita pembeni, ukanda wa pwani tangulini ukawa na volkano?, Volcano ni uji wa mawe unaitwa magma ni ya moto na hutanguliwa na moshi wenye jivu jeupe kama vumbi, magma hiyo hutoka chini na moto wake ikifika ardhini hutiririka na kupoa na ndio hujenga milima ya volcano, kama Mt. Kilimanjoro, Mt. Meru na Oldonyo Lengai, kuna aina tatu za volcano, hai, pozo na mfu. Kilimanjaro ni mfu, Meru ni pozo na Oldonyo Lengai ndio hai. Mfu hailipuki tena, imekufa, pozo, imetulia siku ya siku ikifika, itacharuka, haini kule chini magma ya moto inaendelea kuchemka ila haijalipuka.

Hilo tope baridi sio la volcano, hilo ni la mitetemo tuu, kutokana vi tetemeko vya chini kwa chini!, japo mimi sio mjeolojia, lakini najua kwa kuliona tuu kwa macho, eneo hilo ni eneo la mkondo wa maji, tope hilo ni udongo wa mfinyanyanzi, ulio chini ya mkondo huo wa maji, ambao chini yake una mwamba uliokuwa semi permeable rocks, ambao siku zote unapitisha maji kwenda chini ardhini kwenye mkondo wa maji, sasa kutokana na mvua, water table ime raise, above ile semi permeable rock, hivyo kina cha maji huko chini ardhini kimepanda, sasa na kutoka juu kama chemchem, kutoka na mfinyanzi huo huko jini kuloa, umekuwa uji, hivyo sasa uji wa tope la chemchem, ndio linakuwa pushed juu na ile water table.

Water table ikija kushuka, yale maeneo ya ulipotoka huo mfinyanzi, kutakuwa na hollow pots, mvua ikinyesha na kupalowewesha udongo wa juu, utaporomoka, kama kuna nyumba zinapiga ufa hadi msingi!.

Nimeyajua haya kutokana na mimi kibanda changu pia nimejenga juu ya mkondo wa maji na chinikuna udongo wa mfinyanzi, fundi aliyenijengea, alishauri nijenge msingi wa jamvi la nondo kama msingi wa ghorofa, mimi nikamgomea, si unajua tena Wasukuma tulivyo wabishi, nikamwambia fundi, sijawahi kuona jamvi la nondo nyumba ambayo sio ya gharofa, nikalazimisha ajenga tuu, kikawaida. Fundi akajenga kwa shingo upande!. Nikahamia, mwaka uliofuta mvua za elninyo zikashuka!, kumbe kwangu ni water way, upande wa nyuma kwa jirani yangu, maji yamefika hadi dirishani, akaniomba nibomoe ukuta wangu ili kuyaruhusu yapite.

Kwa ubishi ule ule wa Kisukuma, nikamgomea, kuwa kila mtu kauziwa kiwanja kivyake, hivyo kila mtu atafute pa kuyapeleka maji yake!.
Within two days, maji ukuta jirani yamefika juu ya dirisha, kwa jirani wamehama kila kitu kimeloa, huku yamezuiwa na ukuta wangu!, Kumbe chini kunazidi kulowa na after two days, huku kwangu kukaibuka chemchemi ya matope pembeni ya ukuta wote, yale maji ya jirani yanazama jini ya ukuta na kuibukia kwangu.

Nikamuita fundi wangu, akasema lazima tubomoe ukuta kuyapa maji ya jirani njia, nikamgomea, ndipo akaniambia kutatokea mambo mawili.
1. Ukuta utaloa, utazidiwa nguvu, maji yatafunja huo ukuta, na kutoka na presha, ukuta ukianguka utabomoa nyuma na presha ya maji nyuma yangu itazolewa!.
2. Kwa sababu chini ni mfinyanzi, una very high water retaining capacity, utakuwa tepetepe, na nilijenga msingi bila nondo, nyumba itaanza kutitia na kupiga nyufa kwenye msingi, mwisho itabomoka!.

Ndipo nikakubali, tukabomoa ukuta wangu kujenga tundu la kupitishia hayo hayo maji, kiukweli hiyo pressure, ili fumua karibu ukuta wote, ule msala wa maji sasa ndio yakajaa kwangu, ikabidi na ukuta wa mbele kutoboa kuyaachia maji njia yake, yalikata hadi barabara!.
After two years nyumba ilipiga bonge la crack kwenye msingi, fundi akanionyesga, kweli nyumba ilikuwa inatitia!. Hivyo nikakubali matokeo!,


P

Pasco Mayalla Ndiye Mwana JF wa Kwanza, Kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM!

Hahaha sasa uwe unaweka na number ya simu ili usisahaulike, maana baraza la mawaziri bado lina watu watatu, ukikomaa unaweza kuwa wa nne.

Unakumbuka mliambiwa hata mkikosa kura za maoni ubunge tayari mmeshakuwa vetted mnaweza kuteuliwa muda wowote maana mavyeo mengi tu.
 
Duh, kumbe wewe somo la jiogirafia limekupita pembeni, ukanda wa pwani tangulini ukawa na volkano?, Volcano ni uji wa mawe unaitwa magma ni ya moto na hutanguliwa na moshi wenye jivu jeupe kama vumbi, magma hiyo hutoka chini na moto wake ikifika ardhini hutiririka na kupoa na ndio hujenga milima ya volcano, kama Mt. Kilimanjoro, Mt. Meru na Oldonyo Lengai, kuna aina tatu za volcano, hai, pozo na mfu. Kilimanjaro ni mfu, Meru ni pozo na Oldonyo Lengai ndio hai. Mfu hailipuki tena, imekufa, pozo, imetulia siku ya siku ikifika, itacharuka, haini kule chini magma ya moto inaendelea kuchemka ila haijalipuka.

Hilo tope baridi sio la volcano, hilo ni la mitetemo tuu, kutokana vi tetemeko vya chini kwa chini!, japo mimi sio mjeolojia, lakini najua kwa kuliona tuu kwa macho, eneo hilo ni eneo la mkondo wa maji, tope hilo ni udongo wa mfinyanyanzi, ulio chini ya mkondo huo wa maji, ambao chini yake una mwamba uliokuwa semi permeable rocks, ambao siku zote unapitisha maji kwenda chini ardhini kwenye mkondo wa maji, sasa kutokana na mvua, water table ime raise, above ile semi permeable rock, hivyo kina cha maji huko chini ardhini kimepanda, sasa na kutoka juu kama chemchem, kutoka na mfinyanzi huo huko jini kuloa, umekuwa uji, hivyo sasa uji wa tope la chemchem, ndio linakuwa pushed juu na ile water table.

Water table ikija kushuka, yale maeneo ya ulipotoka huo mfinyanzi, kutakuwa na hollow pots, mvua ikinyesha na kupalowewesha udongo wa juu, utaporomoka, kama kuna nyumba zinapiga ufa hadi msingi!.

Nimeyajua haya kutokana na mimi kibanda changu pia nimejenga juu ya mkondo wa maji na chinikuna udongo wa mfinyanzi, fundi aliyenijengea, alishauri nijenge msingi wa jamvi la nondo kama msingi wa ghorofa, mimi nikamgomea, si unajua tena Wasukuma tulivyo wabishi, nikamwambia fundi, sijawahi kuona jamvi la nondo nyumba ambayo sio ya gharofa, nikalazimisha ajenga tuu, kikawaida. Fundi akajenga kwa shingo upande!. Nikahamia, mwaka uliofuta mvua za elninyo zikashuka!, kumbe kwangu ni water way, upande wa nyuma kwa jirani yangu, maji yamefika hadi dirishani, akaniomba nibomoe ukuta wangu ili kuyaruhusu yapite.

Kwa ubishi ule ule wa Kisukuma, nikamgomea, kuwa kila mtu kauziwa kiwanja kivyake, hivyo kila mtu atafute pa kuyapeleka maji yake!.
Within two days, maji ukuta jirani yamefika juu ya dirisha, kwa jirani wamehama kila kitu kimeloa, huku yamezuiwa na ukuta wangu!, Kumbe chini kunazidi kulowa na after two days, huku kwangu kukaibuka chemchemi ya matope pembeni ya ukuta wote, yale maji ya jirani yanazama jini ya ukuta na kuibukia kwangu.

Nikamuita fundi wangu, akasema lazima tubomoe ukuta kuyapa maji ya jirani njia, nikamgomea, ndipo akaniambia kutatokea mambo mawili.
1. Ukuta utaloa, utazidiwa nguvu, maji yatafunja huo ukuta, na kutoka na presha, ukuta ukianguka utabomoa nyuma na presha ya maji nyuma yangu itazolewa!.
2. Kwa sababu chini ni mfinyanzi, una very high water retaining capacity, utakuwa tepetepe, na nilijenga msingi bila nondo, nyumba itaanza kutitia na kupiga nyufa kwenye msingi, mwisho itabomoka!.

Ndipo nikakubali, tukabomoa ukuta wangu kujenga tundu la kupitishia hayo hayo maji, kiukweli hiyo pressure, ili fumua karibu ukuta wote, ule msala wa maji sasa ndio yakajaa kwangu, ikabidi na ukuta wa mbele kutoboa kuyaachia maji njia yake, yalikata hadi barabara!.
After two years nyumba ilipiga bonge la crack kwenye msingi, fundi akanionyesga, kweli nyumba ilikuwa inatitia!. Hivyo nikakubali matokeo!,


P

Pasco Mayalla Ndiye Mwana JF wa Kwanza, Kada wa Chama cha Mapinduzi, CCM!

Ukiachana na maelezo yako mazuri,hiyo signature yako imekaa kishamba sana,inaonyesha licha ya kuishi mjini miaka miiingii ila bado usukuma umekujaa
 
Nani Katuloga
Volcano Ndiyo Hiyo
"""""""""""--------"""""""""""""
Nitaomba Kwa Jina Yesu Na Mohammed
Sheikh Alhad
 
Wakaa kunduchi beach jiandaeni kujitwika magodoro kichwani kuhamia manzese
 
Natoa wito kwa kamati ya amani mkoa wa Dsm inayoongozwa na alhad Mussa Salum dua zao zisiishie kwa wanasiasa tu bali wazielekeze kwa jamii nzima.

Kunduchi mtongani kuna tishio la makanisa takribani matano kuzolewa na tope baridi la volcano.
Makanisa hayo ni KKKT, Anglican, Katoliki, Sabato na Pentecoste yaliyo karibu karibu katika eneo linalonyemelewa na tope maji la volcano.

Ninajua shehe alhad Salum na msaidizi wako askofu Gamanywa mnapita hapa Jf, Tafadhali sana kamati yenu izuru eneo la maafa hapo kunduchi mtongani kwa diwani Urio.

Maendeleo hayana vyama!
Hapa ni kuwashirikisha wanasaynasi waliobobea kuliona tatizo kwanza.

Hapa hakuna kuweja bla bla its a geological problem.
Chunguza hali ya ardhi eneo hilo, ni eneo tepetepe kwa miaka mingi.

Chunguza upstream, kuna bwawa kubwa la maji eneo lililokuwa la machimbo Kunduchi.
Maji hayo yanaenda wapi?
Chini ya ardhi!

Hilo tope tunaloliona ni chem chem ya maji ya Kunduchi machimbo.

Tuwe wabunifu kifikra!
 
Back
Top Bottom