Dar: Wakazi wa Nyumba za NSSF Kigamboni, watolewa kwa Mabavu

Dar: Wakazi wa Nyumba za NSSF Kigamboni, watolewa kwa Mabavu

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Salaam Wakuu,

Wakazi 23 wa NSSF wametolewa vyombo vyao nje Mtaa changanyikeni kata ya Toangoma.

Inasemekana hakuna removal order na kuna kesi mahakamani

Watu wameharibiwa vitu vyao na wengine kuumizwa. Zoezi limefanywa na YONO Auction Mart

Je, itaratibu upoje kama kesi ipo mahakamani?
 
Salaam Wakuu,

Wakazi 23 wa NSSF wametolewa vyombo vyao nje Mtaa changanyikeni kata ya Toangoma.

Inasemekana hakuna removal order na kuna kesi mahakamani

Watu wameharibiwa vitu vyao na wengine kuumizwa. Zoezi limefanywa na YONO Auction Mart

Je, itaratibu upoje kama kesi ipo mahakamani?
View attachment 2315021View attachment 2315022
Kwanini wanatolewa?
 
Hao watakuwa wanadaiwa tu,
Washazoea wanakaa kwa bei rahisi halafu hawalipi,
Wakitokewa wanalalamika,
Wamesahau usemi maarufu, "asiyefanya kazi, asile" transkated to "asiyelipa kodi ya nyumba, atolewe"
 
Kuna kitu unaficha mleta mada

Kwa nini wanatolewa?
 
Salaam Wakuu,

Wakazi 23 wa NSSF wametolewa vyombo vyao nje Mtaa changanyikeni kata ya Toangoma.

Inasemekana hakuna removal order na kuna kesi mahakamani

Watu wameharibiwa vitu vyao na wengine kuumizwa. Zoezi limefanywa na YONO Auction Mart

Je, itaratibu upoje kama kesi ipo mahakamani?
View attachment 2315021View attachment 2315022
Lipeni kodi...shida ya wabongo mkishaona kitu cha serikali mnataka bure.
 
Kwanini wanatolewa?
Sikiliza hayo mabishano ni kodi mzee... hapo wanajua ni nyumba za shirika basi wanakaa bure halafu huyo malaya anajidai eti notice mfyuuu wabongo ni watu wa hovyo sana.
 
Watupe slip za bili zao za mwisho walizolipa kwanza
 
Hii ndo adha ya nyumba za kupanga, inafanana pia na adha ya kuweka rehani nyumba kwa mkopeshaji
 
Salaam Wakuu,

Wakazi 23 wa NSSF wametolewa vyombo vyao nje Mtaa changanyikeni kata ya Toangoma.

Inasemekana hakuna removal order na kuna kesi mahakamani

Watu wameharibiwa vitu vyao na wengine kuumizwa. Zoezi limefanywa na YONO Auction Mart

Je, itaratibu upoje kama kesi ipo mahakamani?
View attachment 2315021View attachment 2315022
Alikuwa katili na muuwaji. Mtu arie chonganisha watu... Mungu upo wapi Baba uwone majibu wanapata wanao
 
mwenye mkataba waloingia (MPANGAJI na MPANGISHAJI - NSSF ) waturushie hapa nakala
 
Hao watakuwa wanadaiwa tu,
Washazoea wanakaa kwa bei rahisi halafu hawalipi,
Wakitokewa wanalalamika,
Wamesahau usemi maarufu, "asiyefanya kazi, asile" transkated to "asiyelipa kodi ya nyumba, atolewe"
Kabla hujarukia sababu zako, jaribu kufika eneo la tukio kupata ukweli.

Kuna tatizo kubwa sana kwenye hii NSSF tangu enzi za Dau kuhhsu zile nyumba pale.

Ukweli ni kwamba, wale wamepangishwa kwa kodi inayozidi Tshs milion 1 kwa mwezi na wanapaswa kuilipa NSSF milioni tatu kila baada ya miezi mitatu, ikifika kuanzia milioni 120 na kuendelea ndo unapewa nyumba yako.

Nyumba yenyewe hata kwa Tshs 300,000 kwa mwezi haipangishiki labda kwa bei ya juu ya Tshs 200,000 kwa mwezi.

Nimejaribu kukuelezea uhalisia ambao Bodi ya NSSF inajutahidi kuuficha kwa gharama kubwa na kuidanganya mamlaka ya juu nchini.

dubu
 
Back
Top Bottom