Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

View attachment 2851665

Bahati nzuri wengine tumewahi tembelea nchi za wenzetu. Hiyo ni U.K. eneo la Tottenham ndani ya 3 miles radius vituo vilivyopo. Na Tottenham ni residential area. Acha kituo cha mafuta uwanja wa mpira hupo ndani kabisa ya residential area.

Issue sio kituo cha mafuta kiko wapi, swala la msingi ni safety precautionary measures unazotakiwa kuwekeza hili ujenge kituo cha mafuta na EWURA hawana mzaha na hilo.

Nchi yenyewe maskini, ina madeni luluki. Halafu unakuta waziri ambae anapambana kupoteza mapato ya serikali, investment za wenzake na ajira za watu kwa mtazamo wake wa kishamba.

Utitiri wa vituo vya mafuta ni matatizo ya wafanyabiashara wenyewe kwenye ushindani hakuna faida funga; lakini hizo sio shida za serikali ili mradi vigezo vya usalama vimezingatiwa.

Ningeelewa kama hoja ni poor safety measures za hivyo vituo; lakini sio mahala vilipo.
Naam
 
Moja kati ya sababu za mkoa wa kagera kutoendelea, ni tabia ya kijicho na wivu. Omba uwe na jirani yoyoye yule lakini asiwe muhaya. Na ikiwa ni jirani yako, usifanye maendeleo makubwa. Lazima ataanza kuzua visa na mikasa, atakufungulia kesi mahakamani, kwa wenyeviti wa mitaa, kwa mkuu wa wilaya.

Hii no moja ya sababu ya watu wa Bukoba "kuukimbia mji"wakiogopa fitna za wao kwa wao. Ukijenga nyumba kali au kufanya maendeleo, jiandae kwa vita kali mpaka utakimbia.

Ndicho anachofanya huyo wa macho madogo kama senene. Kastaafu hana shughuli mjini, anapiga fitna majirani zake kila siku.

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, baada ya kuona hali hiyo, aliamua kufanya event ya kuwashawishi warudi kwao,maana kila anayefanikiwa anapakimbia huko. Wanatamba sana Arusha, Mwanza, Dar na Moro, kwao ni kama kijiji kikubwa.

Wanapiga kila mtu majungu, hata juzi mbunge wao aliangua kilip hadharani, akidai kwa nini wana bukoba hawataki maendeleo, wanazuia miradi ya serikali ambayo mi faida kwao
View attachment 2851434
Rudisha rushwa uliyokula ya hicho kituo cha mafuta mtaani kwa Tibaijuka
 
View attachment 2851665

Bahati nzuri wengine tumewahi tembelea nchi za wenzetu. Hiyo ni U.K. eneo la Tottenham ndani ya 3 miles radius vituo vilivyopo. Na Tottenham ni residential area. Acha kituo cha mafuta uwanja wa mpira hupo ndani kabisa ya residential area.

Issue sio kituo cha mafuta kiko wapi, swala la msingi ni safety precautionary measures unazotakiwa kuwekeza hili ujenge kituo cha mafuta na EWURA hawana mzaha na hilo.

Nchi yenyewe maskini, ina madeni luluki. Halafu unakuta waziri ambae anapambana kupoteza mapato ya serikali, investment za wenzake na ajira za watu kwa mtazamo wake wa kishamba.

Utitiri wa vituo vya mafuta ni matatizo ya wafanyabiashara wenyewe kwenye ushindani hakuna faida funga; lakini hizo sio shida za serikali ili mradi vigezo vya usalama vimezingatiwa.

Ningeelewa kama hoja ni poor safety measures za hivyo vituo; lakini sio mahala vilipo.
Hujajibu swali,

Hakuna muongozo wowote wa serikali wapi kituo cha mafuta kinapaswa kuwekwa? Kwamba kituo cha mafuta au biashara nyingine unaweza kuiweka popote tu pale mradi kuna fursa ya biashara?

Hakuna shida hata vikipangwa sehemu moja kama fremu za Kariakoo ili mradi muongozo na sheria zinaruhusu hivyo, wala hakuna haja ya kukimbilia kutupa mifano ya huko kwa kina Tottenham Hotspurs.
 
Msomi mwenye maendeo makubwa jua ni dokozi

Ujue ukisoma sana mambo mengi huwa unayaona ya kawaida sana ndo maana msomi ni muoga wa maisha ya kitaa, kitaa hapataki elimu ya darasani
 
Mnachosha kila siku mnafungua uzi kuhusu kagera na maendeleo...

Kwani kagera ndo pekee Tz kuna shida na maendeleo?

Ni mikoa mingapi Tz hii haina maendeleo na hakuna kinachofanyika...

Tukianza na Arusha mji wenye stendi mbovu na finyu
Moshi stendi yao imechakaa na barabara nyingi hazina lami mfano mjohoroni, Rau, pasua, majengo, mabogini nk
Dar..barabara za upanga nyingi ni mavumbi bila kusahau masaki kuna madimbwi barabarani
Dodoma barabara zote za kuingia mjini finyu kweli kweli
Mbeya hicho ni kijiji kikubwa tu
Mwanza barabara ni finyu mno
Nk nk


Acha kufanya mambo ya kagera kuwa big deal as if huko ndo kunashida tu...

Serikali ifanye inachoweza na usipangie watu maisha...

Kila siku wahaya wahaya...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

Yani Mwanza wametia fora. Bara bara ya kuingia mjini ni moja tu Tena finyu. Iwe unatokea Musoma au Shinyanga.
 
Mnachosha kila siku mnafungua uzi kuhusu kagera na maendeleo...

Kwani kagera ndo pekee Tz kuna shida na maendeleo?

Ni mikoa mingapi Tz hii haina maendeleo na hakuna kinachofanyika...

Tukianza na Arusha mji wenye stendi mbovu na finyu
Moshi stendi yao imechakaa na barabara nyingi hazina lami mfano mjohoroni, Rau, pasua, majengo, mabogini nk
Dar..barabara za upanga nyingi ni mavumbi bila kusahau masaki kuna madimbwi barabarani
Dodoma barabara zote za kuingia mjini finyu kweli kweli
Mbeya hicho ni kijiji kikubwa tu
Mwanza barabara ni finyu mno
Nk nk


Acha kufanya mambo ya kagera kuwa big deal as if huko ndo kunashida tu...

Serikali ifanye inachoweza na usipangie watu maisha...

Kila siku wahaya wahaya...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo kila mtu anatamani angekuwa mhaya wanaupenda mkoa wa Kagera ndio maana wanakuja na hoja za kuponda maendeleo .
Hivi Kagera kuna sehemu mbaya kama vingunguti ,Buguruni ,Tandale au mbagala maji matitu aaha aah aah
 
Mnachosha kila siku mnafungua uzi kuhusu kagera na maendeleo...

Kwani kagera ndo pekee Tz kuna shida na maendeleo?

Ni mikoa mingapi Tz hii haina maendeleo na hakuna kinachofanyika...

Tukianza na Arusha mji wenye stendi mbovu na finyu
Moshi stendi yao imechakaa na barabara nyingi hazina lami mfano mjohoroni, Rau, pasua, majengo, mabogini nk
Dar..barabara za upanga nyingi ni mavumbi bila kusahau masaki kuna madimbwi barabarani
Dodoma barabara zote za kuingia mjini finyu kweli kweli
Mbeya hicho ni kijiji kikubwa tu
Mwanza barabara ni finyu mno
Nk nk


Acha kufanya mambo ya kagera kuwa big deal as if huko ndo kunashida tu...

Serikali ifanye inachoweza na usipangie watu maisha...

Kila siku wahaya wahaya...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ahsante sana kwa mawazo chanya, viongozi wa serikali uwalisha matango poli na wenyewe ukubali hayo majungu, niliwahi kuwauliza kama kweli wahaya wanapinga maendeleo yao miaka nendarudi mbona mji wenyewe wa bukoba hauna tofauti na miji mingine, nenda Musoma, nenda Shinyanga, nenda Kigoma hali naona ni ileile tu.
 
Hujajibu swali,

Hakuna muongozo wowote wa serikali wapi kituo cha mafuta kinapaswa kuwekwa? Kwamba kituo cha mafuta au biashara nyingine unaweza kuiweka popote tu pale mradi kuna fursa ya biashara?
Kama unadhani kuna huo mwongozo si ungeweka kuliko kuniuliza mimi kama upo.

Mipango miji ina mambo mengi na kwa Dar Es Salaam; mji ambao umeshaharibika uwezi kutumia mipango ya 1950’s leo wakati maeneo ya wazi katikati ya jiji hakuna. You have to work with the existing kuboresha jiji.

Na Tanzania serikali aina hiyo hela ya kufanya uwekezaji regeneration wala wawekezaji hawana mpango huo wanachojua mafisadi kutafuta majengo ya NHS kuvunja, kuwatoa wapangaji bila ya utaratibu sahihi na hiyo ndio idea yao ya kutengeneza CBD au regeneration.

Vinginevyo hakuna mahala popote duniani utakuta mpango wa mji utakaoangaika na vituo vya mafuta vikae wapi that’s just impossible, with time.
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Kama kodi muhimu kavunje ikulu jenga petrol station
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Kama kodi muhimu kavunjw ikulu magogoni jenga petrol station
 
Hizi akili za Chipukizi zimekuwa tatizo hapa jukwaani!
Ni sheria ipi inayoruhusu kituo kujengwa kwenye makazi ya watu?
Hiyo Petrol station ipo hapo kwa rushwa kama ambavyo wametaka kumuonga Waziri.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Lile ni eneo la makazi,ila kwa tamaa za utajiri, mwenye kiwanja akabadili matumizi kwa kuhonga Maafisa mipangomiji,na vibali vikatoka kimagumashi.Maafisa waliofanya huo uhuni,Jerry awasimamishe kazi mara moja.
 
Kama unadhani kuna huo mwongozo si ungeweka kuliko kuniuliza mimi kama upo.

Mipango miji ina mambo mengi na kwa Dar Es Salaam; mji ambao umeshaharibika uwezi kutumia mipango ya 1950’s leo wakati maeneo ya wazi katikati ya jiji hakuna. You have to work with the existing kuboresha jiji.

Na Tanzania serikali aina hiyo hela ya kufanya uwekezaji regeneration wala wawekezaji hawana mpango huo wanachojua mafisadi kutafuta majengo ya NHS kuvunja, kuwatoa wapangaji bila ya utaratibu sahihi na hiyo ndio idea yao ya kutengeneza CBD au regeneration.

Vinginevyo hakuna mahala popote duniani utakuta mpango wa mji utakaoangaika na vituo vya mafuta vikae wapi that’s just impossible, with time.
Anzia hapa kuweka kichwa chako sawa
 
Anzia hapa kuweka kichwa chako sawa
Sasa hiyo mada ina uhusiano gani na kujenga maeneo unayoita residential.

NEMC wametoa fine kwa sababu ujenzi wa hivyo vituo auna EIA licence (environmental impact assessment) wao ndio wanatoa hiko kibali na hilo ni takwa la kisheria popote unapojenga kituo cha mafuta.

Leta hiyo ramani ya mpango miji inayoweza kupanga vituo vya mafuta vikae wapi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=dL6JzkWKvAY

Halafu eneo mbona limetengenezwa vizuri, lipo mbali na eneo majengo na size nzuri kwa kituo cha mafuta. .

Utafananisha na vituo vya mafuta vingine nchi za ulaya unakuta kaeneo kadogo katika ya CBD watu wanaweka vituo vya mafuta


View: https://m.youtube.com/shorts/3cOFdFnPA4U?embeds_referring_euri=https%3A%2F%2Fwww.google.co.uk%2F&source_ve_path=MTU2OTE1&feature=emb_ytp_watch_again

Embu tupunguze ushamba na kukariri mambo.
 
Hatari sana,

Kwa wenzetu ili uwe kiongozi, kiwango chako cha akili na uelewa kinapaswa kuwa kikubwa sana ila huku ni kazi ndogo sana.

Nchi nyingine zimeenda mbali kidogo, kuna level kama hizi za uwakilishi wa wananchi lazima uwe tajiri na mtu mwenye mafanikio kupitia biashara.
Biashara zipi? Si wote na si kweli kufanikiwa kibiashara ndio kipimo cha kuonyesha una akili kushinda wengine.. mazingira yao na siasa zao ni tofauti sana na nchi za dunia ya 3..usilinganishe km vile upo mfanano.
 
Hizo sheria zinazingatiwa mikocheni tu? Uswahilini kuna vituo kibao kwenye makazi ya watu wilaya zote za Dar es salaam mbona hajashupalia huko?
Why mikocheni? Only.Mmm au alitaka dau kubwa zaidi akamwambia mimi.nina milioni.300 tu akagoma
Kama wanaokaa karibu na hivyo vituo wameridhika waziri hawezi kujua sehemu zote zenye kasoro, sabb nae anategemea watu wenyewe wajue haki zao.. watu wenyewe wawe wa kwanza kutokubali kuishi na kasoro kwenye maeneo yao..waziri anatekeleza kile wengi wanata.ka
 
Back
Top Bottom