Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Watu wakishaona top officials wapo wapo tu usitegemee mambo kufanyika kwa weledi. Ndio maana tunasema sirikali ipo autopilot watu wanabisha.
 
Ukiangalia kuanzia awamu ya kwanza mpaka hii utagundua kwamba awamu za kwanza, tatu na tano, ndugu wa wakuu walikua hawana nguvu katika serikali. Tena wengi hawakujulikana kivile, mfano hakuna ndugu wa Nyerere au Mkapa aliyekua anajulikana kwa kufanya biashara bila kulipa Kodi au kuvamia viwanja au kupenda matanuzi kupitia jina la nyerere./Mkapa.
Enzi za Nyerere ungeingia ikulu kula Bata, ungepitia geti gani?
 
KIZIMKAZI hana muda na Watanganyika. Zaidi ya kuteua n kutengua tu
 
Mkuu hizo ndizo athari za ujamaa. Wazo la biashara, Mtaji wa kwake, Serikali ya mtaa imeridhia, ardhi wamempa kibali, Mazingira wameruhusu, Ewura wamekubali, manispaa wametoa leseni.

Halafu mtu anaamka anasema hajashirikishwa kisa jirani! Ajabu kweli hii! yeye akitumia gesi yake ya kupikia anamshirikisha nani?

Kituo kikikamilika mlalamikaji atakuwa wa kwanza kununua mafuta, kuziba pancha na kuingia supermarket.

Ujamaa ni unafiki!
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Sio kwamba ukiwa JamiiForums kazi kubwa inakuwa kuonyesha ujinga wako kwa mapana zaidi au?
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Kodi bila utaratibu hatutaki,

Jerry simama hivyohivyo janjajanja hapana
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Acha ujinga. Jerry kajijengea uadilifu, kilichomuondoa Mabula yeye kakishinda. Unadhani Dkt Samia anaendekeza wala rushwa?????? Jidanganye, mtapigwa risasi mfe mnaolazimisha rushwa maana mwisho wenu unahesabika
 
Hana njaa yule, amekataa milioni mia tatu!
Screenshot_20231223-182119_Instagram.jpg
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa


Hapana, fedha serikali inapata kwa kodi, ila sio sbb ya vituo vya mafuta sbb vinalipa kodi kubwa vijengwe hovyo hovyo, hapana, fedha isiwe sbb ya kuvunja sheria kisa kulipa kodi kubwa, lazima sheria ifuatwe kwenye uwekezaji mkubwa kama wa mafuta at the same time kodi ilipwe inavyopaswa, huo ndio uongozi bora, not less, not more..!!

Wenye fedha lazima wafuate sheria, period.
 
Back
Top Bottom