Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Watanzania mna laana Nyerere alipooona Yatamtokea ya Dozer ALING'ATUKA hakuona haja ya kuanza kuwatumbua.
Walioua hivyo viwanda ni Babu, Mjomba. Baba na kaka zetu walioaminiwa na kupewa nyadhifa mbalimbali.
Kwenye utawala wa sheria uliotamalaki hayo hayawezi kutokea mbona. Sheria inachukua mkondo wake. Hakuna mtu wa kumpigia simu Pilato namna ya kutoa haki.
CAG katimiza wajibu wake lakini wengine bado wanajifikiria mpaka leo. Kwa nini haya yasitokee?

Tatizo ni CCM tu. Lakini wanayo nafasi ya kujirekebisha. CCM ndiyo wa kuleta mapinduzi ya kweli. Hata wao wanajua wewe ndiyo hujui kweli!
 
Huyu mama anashamba muleba heka elfu mbili lina ngombe ndizi kahawa miti ya mbao wanyama pori wakiwemo tumbili, anakuja mjini kuzua taharuki.

Nilitegemea tumtumie kama shamba darasa sasa kaja mjini anakula misele na akina miladi ayo
 
Back
Top Bottom