Uchaguzi 2020 Dar: Watu 14 Wakamatwa kwa kushawishi maandamano yasiyo halali

Hata Nyerere aliwahi shitakiwa na wakoloni kwa kuandamana.

Mandela pia aliitwa gaidi.

Msimfananishe baba wa taifa na vibaraka wanaomtukana hadi yeye mwenyewe majukwaani
 
Kwahiyo halima na zito wamejificha au wamekimbia😁😁😁
 
We ndo mjinga,
Huyu anashangaa polisi kumuwekea bail mtuhumiwa mmoja tu kati ya wengi walokamatwa, we unamuona hajasoma we ndo mwehi.
Hata mie nastaajabu hao polisi kwa upendeleo/uoga
Kukosa kwako elimu ndio kuna kusumbua, hujui police bail ni kitu gani?. Mipumbavu ndio mnashabikia upuuzi.
 
Maandamano ni HAKI yetu ya KIKATIBA.
 
Ipo haja ya kuanza kuitumia ile njia waliyoitumia watu wa Lindi kuwakataa hawa wabunge wamagufuli
 
Mhhh what a lecture from an academician,,, Hooligans!! hooligans using security forces mhh you better go back to school on hooliganism lessons,, Hitler was not a hooligan but a great leader and what about the Belgian King Leopold who killed more than 15 million Congolese more than twice of Hitler,s mess,, has your godfathers mentioned about???
 
Mbona wamewapa kesi nusu!?
Ikitakiwa iwe hivi"Kuhamasisha maandamano haram na kutaka kuchoma vituo vya mafuta"
 
Maandamano ni HAKI yetu ya KIKATIBA.
Mnashambuliana wenyewe na angalia kujichanganya kwenu,,mguu aliopigwa risasi Lissu ulitakiwa kuwa wa dereva,,,mguu wa kulia,, Lissu angepigwa mguu wa kushoto kama alikuwa anaendeshwa akiwa amekaa mbele na dereva wake,, je umeuona mlango wa gari uliopigwa risasi?? kajiridhishe gari bado liko polisi
 
Kisa Chadema imekosa wabunge na imekufa kifo cha mende?
Kuua CHADEMA kifo cha mende, haitoshi kukupa amani, otherwise usingeendelea kubwabwaja hapa! Unashindanaje na CHADEMA iliyokufa kifo cha mende, kama hampo sehemu moja, (huko kifoni kwa mende)????!!!
 
Freeman Al Baghdad Mbowe, mzee wa bendera nyeusi, maandishi meupe na majambia mawili😀
 
Hata Nyerere aliwahi shitakiwa na wakoloni kwa kuandamana.

Mandela pia aliitwa gaidi.
Nyerere ambaye kwa mujibu wa Lissu alikuwa mminya haki za binadamu.
Nenda field, maandamano ya kwenye simu yana matokeo madogo sana kamanda salary
 
So sad kwa kinachofanywa na hili jeshi dhalimu!
Halafu kuna mtu ataniambia niwe mzalendo,aah wapi!Akija adui na lengo likawa nikuwatarget hawa wadhalimu,walahi nawaunga mkono!
Nawashauri watz waanze sasa kukutarget na wewe wasisubiri mpaka adui aje TZ wewe ni adui wa watz kuanzia sasa hivi.
 
Kama kwenye kifo cha Aquelina, waligeuziwa kibao wao.
Kwa TL napo walisema wamempiga risasi wanachama wenzake.
Yani ni mwendo wa kubadilishiana kibao tu.
 
Natamani agizo litoke ".....Harooo IGP, waagize vinaja wako kuelekea kuapishwa kwangu futeni kesi za kisiasa zote ,warudi makwao wamejifunza, ...napigiwa kelele sana mabalozi kupitia kwa Kabudi na wasaidizi wangu...." IGP sawa mkuu tunateleza mara moja..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…