Uchaguzi 2020 Dar: Watu 14 Wakamatwa kwa kushawishi maandamano yasiyo halali

Atakupataje huku JF na ID yao bandia? Wanawatafuta vingunguri wanaoshinda mashimoni, porini & misituni wakila udongo na mchwa na kunywa umande. Wewe ambaye hata huo mkono wako lainiii unajeruhiwa na kiibodi yako hiyo hawakutaki kabisa hata kwa ushauri tu.
 
Wakuu,
Nchi yetu inapoenda ni pabaya. Polisi kuwemo ndani ya siasa sio mwelekeo mzuri.
Kama ni kuonyesha umahiri wa kiintelijensia, nguvu ya polisi, na hata kuhakikishia usalama wa raia, basi wangeanza huko kusini kwenye magaidi wa kweli. Sijasikia polisi wakija kusema oh kuna taarifa ya magaidi wanataka kuua watanzania, tumewakamata walikuwa wanafanya mikutano huko kusini.
Najiuliza maswali mengi

Waziri wa Kiraia, tunapelekwa kipolisi polisi?
Kwani mandamano ni uhalifu? kwanini iwemo kwenye sheria za nchi? Kwanini isiwe tu Maandamo kushnei?
Watoe evidence, waende kwa nani yule aarrrgh enhe musiba, inawezekana akatusaidia kuonyesha huo uhalifu wa hao viongozi wa kisiasa

...zaidi ya hapo atakuja kuelewa kuwa ile nembo anayovaa inasema usalama wa raia. na sio chama.
nimejaa jazba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…