waacheni , mbona wa mabehewa mikweche kwa bei ya haramu wanapeta na kuteteana kama waemaji wa serikali. Kila mmoja anakula anavyoweza, nchi hii imekufa bado kuzikwaMamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata kilo 16.643 za dawa za kulevya zikiwamo kilo 15.19 za heroin...
Hawachomi kipendaroho!Duh kuna mtu kachoma hapo
Kibano hakiongopiDuuh kwahiyo Jamaa kaamua kuwachoma wenzake sio?
Mwamba ana wamudu vyema 😅😅Haha, ni hatari.
Ndiyo wajanja wa mjini, kubali ukataeMbona majina ya watuhumiwa mara nyingi ni ya Kiislamu?
hawa ndio risk takers pekee ama?
Zikitumika njia za kibinadamu hawawezi ongeaHawachomi kipendaroho!
Unyanyasaji na mbinu ovu zinazotumiwa na wapelelezi kuupata ukweli huwa si za kibinadamu!
Mtuhumiwa anaropoka tu ili apumzike angalau kwa sekunde maumivu!
Akikomaa sana kuzuia habari zibaki siri yake, kuna madawa mtuhumiwa anapewa yanayomfanya aanze kuropoka ukweli wote kama taahira.
Siyo kwamba sasa hivi kuna uhuru wa habariKweli imerudi kabisa, nenda KKOO uone watu wanavyoshusha majumba
Dah GT nimecheka sana. Wagalatia kazi tunayo yani mashambulizi yanavyopanguliwa.Pole sana kwa kupoteza malinda,kumbe walikupitia tayari?
Mkaldayo sisi wagalatia tuendelee tu kuagizia ma callgirs/escortsMetamphetamine ni Mr White na kijana wake Jesse Pinkman nini?..Kidding
Ndugu zetu wa Macca na hii biashara vipi?
[emoji1787][emoji1787]Sure..Mkaldayo sisi wagalatia tuendelee tu kuagizia ma callgirs/escorts
... amekalishwa chupa ya coca akiwa mtupu lazima aseme yote kabla haijazama yote.Duuh kwahiyo Jamaa kaamua kuwachoma wenzake sio?
... inspirational speakers! Eti nilianza na mtaji wa tray 5!huyo huyo
Duh... amekalishwa chupa ya coca akiwa mtupu lazima aseme yote kabla haijazama yote.
Duh[emoji1787][emoji1787]Sure..
Kujilipua tuwaachie hawa jamaa zetu
DuhNdiyo wajanja wa mjini, kubali ukatae