Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipewa 1.7 cash kabla ya kutekeleza mauaji.kwenye hio hela 1.7m inawezekana laki tatu ndo walipewa advance inform of kitimoto na konyagi za kutosha.
Sasa kumbe Mungu anatupangia sasa kwanini tena akatuchome moto? Au moto ni fiction mr blackman?Watu hawajifunzi kabisa. Ni nadra kuua mtu halafu ukabahatika usijulikane na kukamatwa. Utashikwa tu hata kwenye nchi maskini mifumo ya ya Sheria ni dhaifu.
Ila alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa kwa iyo ni kuomba na wewe usipangiwe kutekeleza mauaji mtu mwengine alipangiwa pindi tu alipozaliwa.
Acha upoyoyo Mungu hampangii mtu kufa gesti/ajalini/wala popote pale, bali anayajua ya mbele yako. Tumia ubongo wako vema. Nyie ndio mnatakiwa m-donate..(joke)wewe umeumbwa na nani?
Barke Rashidi alikuwa Guest mwenyewe?
Inategemea, walioua akina Ben Saanane, Azory na wengineo bado wanatamba tu. kingai na magenge yake walikamatwa lini?Ukiua mtu umewasha bluetooth on damu yake itakumulika popote uendapo lzm utakamatwa tu
Huu ujinga ndio naupinga kila siku mtu kuzusha eti mtu katolewa Figo cha kwanza kabla ya kutoa Figo au kiungo chochote cha ndani lzm kuwe na serial investigations na test kujua huyu mtu yuko free na magonjwa, pia wanaangalia compatibility tests na utendaji kazi wake (sio wanavuna Figo iliyonzima less than 50%)halafu Kuna issue ya kuiandaa na kuisafirisha mara nyingi kila Kitu kikiwa Sawa wanavuna hicho kiungo na kukiweka kwa muhusika au recipient right away, sasa ebu oanisha na Mazingira ya kifo cha huyu Dada yaani katekwa then kapelekwa gesti akauwawa na kutolewa Figo! Labda wavune kupeleka kwa wagangaLakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Wamekuambia mwisho wao utakavyokua.Inategemea, walioua akina Ben Saanane, Azory na wengineo bado wanatamba tu. kingai na magenge yake walikamatwa lini?
Ule ni uvumi,,, kuiba figo ya mtu na ili iweze kuuzwa nadhani anatakiwa mtaalamu na vifaa maalumu piaLakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Tutakuja kuwa kama SA au mexico ambapo kwa malipo ya $100 tu mtu anakutoa rohoUhai wa binadamu kwa 1.7m dunia imekwisha.
Lakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Mbele ya kitita hangeruka, wanawake wanapenda sana helaNaunga mkono hoja
Walienda kuifanyia nini hiyo Figo? Hili nadhani ndo swali muhimu
Mbona mi nimesikiliza nduguze wamesema hajatolewa kiungo chochoteLakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Afadhali nawe umeona Mana humu watu wamekazania katolewa figo wakati ndugu wamekataaWaangalie ndugu zake ambao ndo walienda spitali kuukagua mwili wake.
Watazame kuanzia dakika ya 10 mpaka ya 11.
Ukimaliza kuangalia, naomba uniambie wamesemaje kuhusu figo.