Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Damu ya mwizi,jambazi mchawi bluetooth zao zimekufa hakuna laana yoyote utakayoipata kwao
 
Watu hawajifunzi kabisa. Ni nadra kuua mtu halafu ukabahatika usijulikane na kukamatwa. Utashikwa tu hata kwenye nchi maskini mifumo ya ya Sheria ni dhaifu.

Ila alipangiwa atakufa hivyo pindi tu alipozaliwa kwa iyo ni kuomba na wewe usipangiwe kutekeleza mauaji mtu mwengine alipangiwa pindi tu alipozaliwa.
Sasa kumbe Mungu anatupangia sasa kwanini tena akatuchome moto? Au moto ni fiction mr blackman?
 
Lakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Huu ujinga ndio naupinga kila siku mtu kuzusha eti mtu katolewa Figo cha kwanza kabla ya kutoa Figo au kiungo chochote cha ndani lzm kuwe na serial investigations na test kujua huyu mtu yuko free na magonjwa, pia wanaangalia compatibility tests na utendaji kazi wake (sio wanavuna Figo iliyonzima less than 50%)halafu Kuna issue ya kuiandaa na kuisafirisha mara nyingi kila Kitu kikiwa Sawa wanavuna hicho kiungo na kukiweka kwa muhusika au recipient right away, sasa ebu oanisha na Mazingira ya kifo cha huyu Dada yaani katekwa then kapelekwa gesti akauwawa na kutolewa Figo! Labda wavune kupeleka kwa waganga
 
Inategemea, walioua akina Ben Saanane, Azory na wengineo bado wanatamba tu. kingai na magenge yake walikamatwa lini?
Wamekuambia mwisho wao utakavyokua.
We uoni kingai alivyokondeana utadhani msokota ndumu.Ndizi ilianza ivia kwa boss wao Mdogo mdogo itawafikia nchani
 
Lakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.
Ule ni uvumi,,, kuiba figo ya mtu na ili iweze kuuzwa nadhani anatakiwa mtaalamu na vifaa maalumu pia
 
Lakini mchakato mzima wa kutoa kiungo chochote cha mwili iwe figo, ini, moyo najua lazima awepo specialist na ni operations sio ndogo.

Mbona hakuna mahala wamesema kuwa ametolewa figo
 
Back
Top Bottom