dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaMiddle east hajui nini maana halisi ya organizing crimes!!
Na tamaaa zaoHaya dada zetu endeleeni tu kudanga.
Acha wafe tu kima hawa. Wanajiona sana special na hizi nyimbo zao za mapenzi ndio zinawadanganya sana. Hawataki kutulia kbs.Danga ndiyo limetumika kama chambo.
Udangaji haulipi wadada kaeni rada.
Hatari sana , hela zenyewe ngumu. Lkn wanawake wako wengi , haitaji kuuaKuna habari Ililetea humu kwamba kuna Mwanamke aliuwawa tarehe 1.1.2022 maeneo ya Tabata Segerea na kutolewa figo.
Jeshi la polisi limewakamata watuhumiwa 2 waliokiri kuhusika na mauaji hayo.
Chanzo cha kifo ni wivu wa mapenzi ambapo mtuhumiwa namba 1 aitwae White ambae ni mpenzi wa marehemu alimkodi mtuhumiwa wa 2 Bw. Jonsiner Bounser kwenda kumtongoza Marehemu na kisha kwenda kulala nae na kumuua kwa maelezo kwamba mtuhumiwa wa kwanza white amekua akimtuhumu Marehemu kua na wanaume wengine na sio muaminifu na yeye White amemgharamia sana ila marehemu haridhiki.
Hivyo White akakodi mtu amtongoze mpenzi wake na kisha amuue kwa malipo ya shilingi milioni 1.7 na hadi mauaji yanafanyika mtuhumiwa namba 2 alikua ameshalipwa kiasi cha 1.2m na bado anadai 500k kwa mtuhumiwa namba 1.
Mauaji ya mapenzi yameshika kasi sana.
![]()
Wawili wakamatwa tuhuma za mauaji ya mwanamke gesti
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakamata watu wawili wanaodaiwa kula njama ya kumuua mwanamke mmoja katika nyumba ya kulala wageni eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam.www.mwananchi.co.tz
Nami napata ukakasi hapo mkuuKama ni wivu wa mapenzi kutolewa figo kumeingiaje?
Hili tukio linahitaji upelelezi wa kina,isijekuwa kina White wana mtandao wa kunyofoa viungo vya binadamu,yeye anadai wivu wa mapenzi ili genge lake liendelee na kazi huku njeNami napata ukakasi hapo mkuu
Sasa mbona walimtoa na Figo?!Kuna habari Ililetea humu kwamba kuna Mwanamke aliuwawa tarehe 1.1.2022 maeneo ya Tabata Segerea na kutolewa figo.
Jeshi la polisi limewakamata watuhumiwa 2 waliokiri kuhusika na mauaji hayo.
Chanzo cha kifo ni wivu wa mapenzi ambapo mtuhumiwa namba 1 aitwae White ambae ni mpenzi wa marehemu alimkodi mtuhumiwa wa 2 Bw. Jonsiner Bounser kwenda kumtongoza Marehemu na kisha kwenda kulala nae na kumuua kwa maelezo kwamba mtuhumiwa wa kwanza white amekua akimtuhumu Marehemu kua na wanaume wengine na sio muaminifu na yeye White amemgharamia sana ila marehemu haridhiki.
Hivyo White akakodi mtu amtongoze mpenzi wake na kisha amuue kwa malipo ya shilingi milioni 1.7 na hadi mauaji yanafanyika mtuhumiwa namba 2 alikua ameshalipwa kiasi cha 1.2m na bado anadai 500k kwa mtuhumiwa namba 1.
Mauaji ya mapenzi yameshika kasi sana.
![]()
Wawili wakamatwa tuhuma za mauaji ya mwanamke gesti
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limewakamata watu wawili wanaodaiwa kula njama ya kumuua mwanamke mmoja katika nyumba ya kulala wageni eneo la Tabata Segerea jijini Dar es Salaam.www.mwananchi.co.tz
kwenye mambo ya mauaji kuna habari za spinning kuhamisha akili za watu na kuwasumbua wanausalama kupata chanzo..Kama ni wivu wa mapenzi kutolewa figo kumeingiaje?
Acheni.Ongea na Dada zako.
Labda hii ni part 1,tusubiri part 2 ya story...Na figo inayosemekana kutolewa inahusiana nini na wivu?
ni kama wewe uuwawe guest house halafu pembeni ya maiti yako iwekwe condom used na vidonge vitatu vya viagra na nguo ya ndani ya kike, ili sisi tukija tuseme umekufa ukipambana na jinsia ya mwenzako..Sasa mbona walimtoa na Figo?!
Duuuni kama wewe uuwawe guest house halafu pembeni ya maiti yako iwekwe condom used na vidonge vitatu vya viagra na nguo ya ndani ya kike, ili sisi tukija tuseme umekufa ukipambana na jinsia ya mwenzako..