Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Mlitarajia polisi waseme kua katolewa figo?serious nchii hii askari hawa sijawahi waamini asilani,naamini kabisa huyu Dada amefanyiwa ukatili wa kutisha..Uzuri wa maiti za kiislamu zinakafiniwa na hapo ndo unajua km nduguyo yuko salama na viungo vyote au laah!hao ndugu wamepigwa biti wasiseme tu!ila mi naona kweli unyama umefanyika
Sio biti,pengine wamelipwa mgao wa mauzo ya Figo, ndugu wenyewe inaonekana kama ndugu baki tu, uchungu hawauonyeshi kiusahihi wake
 
Hilo baunsa jinga sana mtoto mzuri namnaile lina muua!!.

Ningekuwa mimi ningechukua ela ninge kula tamu alaf namwambia oyaa tayari nimesha uwa tumapesayangu iliyo baki haraka kabla sijakufata na wewe.

Nachkua albakiyangu alaf namwambia dem poa baby see you next time.

Jinga sana hili bounsa.
Hahahah, ufanye hivyo huku ujue kwamba unahama nchi kabisa, ukibaki atakumaliza yeye mwenyewe
 
Hahahah, ufanye hivyo huku ujue kwamba unahama nchi kabisa, ukibaki atakumaliza yeye mwenyewe

Hahahaaa naondoka lakini siendi mbali, nazugazuga ata kimaratuapo wiki mbili au tatu.
Ela ikikaribia kwisha naenda kuvujisha taarifazake kabisa polisi jinsi tulivyokuwa tunawasiliana kwa msj na nilivyo mrecodi.
Na jinsi nilivyo tumia vizuri msemo wa wajinga ndio waliwao,alafu nawaomba polisi wamuambie yeye ahakikishe nipo salama.
Jamaa mpumbavu sana, unaweza kuta linamke na watoto wake alafu linafanya ushenzi kama huo.
 
Angemjengea nyumba na kumnunuli gari na kumfungulia biashara angejiua na yeye akii
Wanaume kama kuhonga hamuwezi acheni tu vitu vidogo tu hivyo unaua mtu
Kuna rafiki yangu wa kiume anasemaga hatembei na mwanamke ambae wako level tofauti kijamii. Na anasemaga hata kwa wanawake pia inatakiwa kuwa hivyo. Watu wengi ambao wanajihisi wako jamii ya chini dhidi ya wapenzi huwa wako bitter na control freaks. Mfano mwanamke hana kazi anapewa kila kitu na mwanaume siku yule mwanaume akimuacha lazima mwanamke atafanya vingi vya ajabu ikiwezekana hata kujiua. Same applies kwa wanaume type ya White muuaji. Barke ni kisu haswa, white aliamini kwa pesa zake angemmliki Barke peke ake. Alishajua yeye na Barke ni jamii mbili tofauti akalazimisha kwa pesa...
White angekua ni mtu ana pesa zake asingeumia kulipa kodi eti atoe uhai sana sana angeelewa tu Barke hampendi anafanya maisha mengine.

Kwa kuandika haya ukiona mwanaume maisha yake ya kuunga unga usile pesa yake, kama humtaki bora ukae nae mbali tu. Na sio tu kula pesa hata usidate nae maana ukishadate nae utakula pesa yako na hiyo ndo itakutumbukia nyongo baadae.

Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira hasira na wanajua wanawake wanawakataaga kwa sababu hiyo ndo maana hata akiachwa anaona kaachwa kwa sababu hiyo kumbe mapenzi yanaishaga.
 
Hilo baunsa jinga sana mtoto mzuri namnaile lina muua!!.

Ningekuwa mimi ningechukua ela ninge kula tamu alaf namwambia oyaa tayari nimesha uwa tumapesayangu iliyo baki haraka kabla sijakufata na wewe.

Nachkua albakiyangu alaf namwambia dem poa baby see you next time.

Jinga sana hili bounsa.
Mi ningemla na ningeendelea kumla!

Utauaje ua zuri kama hilo????

Too bad sikuwahi kupishana naye huyo dada uso kwa macho.
 
Kabisa ingawa kuua mtu ni kosa ila huyu marehemu anaonekana alikua mjanja mjanja Sana'a watoto wa ilala hao!kimaslahi zaidi!
Nilimwambia mtu marehemu kakaa kama wale wadada wa Tabata. Wanalala wakiamka wanawaza waende bar ipi wakadake vichwa.
Kama wala vichwa hawatajifunza kwa Barke basi tena. Sema ndo maisha yao kama biashara ya utumbo, ukiogopa nzi umelala njaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja niende zangu Kidimbwi nikale upepo wa bahari.

NIDA wanazingua toka wiki iliyopita!
Nenda Upepo naona ndo kiwanja kinabamba.

Nakuja kesho kutwa tukazurure au utakua umebanwa na aunt zake Li?
 
Sema white ni mapenzi yalimzidia halafu akaona binti anakula wanaume wenye hadhi kumzidi akajitia unyonge akaona bora waklse wote.
Hakukuwa na haja ya kumuua.

Angemuacha tu akatafuta mwingine.

Ila pia kula kula hela za watu nayo siyo poa kivile.

Kama kilichoripotiwa ni cha kweli, basi naona kuna makosa kwenye pande zote mbili.

Ila makosa ya kuua ni mazito zaidi.
 
Daaahhh huyu Mtoto ,Rangi ya mtume..

Mwili tepetepe ,lainiii

Cheki hizo lips ..

Bila shaka Tako limemtokaaa ,limelainikaa haswaa



Baunsa Fala !!!! Hata ivo Suala la Kua mzuri au mbaya ,halitoshi kua sababu ya mauaji.


Kwa Wale wazee wa

[emoji117]MWANAMKE MPE PESA ...nmeona??? Mmeona uchungu wa kuhonga nakutumia pesa vibaya just to make her happy???

mmeona ?? HAMNA UWEKEZAJI MBAYA KWA MWANAMKE, KAMA KUWEKEZA PESA ZAKO, MALI ZAKO, KUHAKIKISHA UNAMTULIZA, ALAFU AKAWA ANALIWA KWINGINE... Wengi wa walofanya ivo, wameishia Kuua ?? Kujiua ?? [emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji117]KUPENDA ILIKUA ZAMAN.. Wanawake muwachukulie kama ni kitu KILICHO nje yako, yaan unaweza wa kukipuliza kikasepa. Unaweza kukikaribisha kidogo.. Lkn sio kuwekeza PESA ZAKO, MOYO WAKO, MUDA WAKO !!


NI NGUMU MNOOOO MNOOOOO, DEMU KUMKUTA HANA WANAUME ?? SIKU HIZI WANA WANAUME .

KIKUBWA NI WEWE ME, USIWE NA WIVU, USITUMIE PESA YAKO VIBAYA KUMUWEKEZEA, ILI SIKU UKIGUNDUA MPO WENGI, WALA USIUMIE,

[emoji117]UNAVAA ZAKO KONDOMU, UNAPIGA, MAISHA YANAENDA..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukiishi ivo, maisha yako yatazidi kuchanua na kuchanua .





Kwa Upande wapili... mabidada wa mjini, endeleeni Kuchuna eeehhh sawa , MTU akupangishie Nyumba ?? Sio chumba wala chumba, ni Nyumba ?? Tena Dar ??? Haitoshi bado unatombeka na wengine ???... Si bora umweke wazi Jamaa, ili hao wanakukula ndio waendelee Ku kulipia.

Yaan Jasho la Mtu, wee unalitumia vingine??

Haha ha ha ha ha...KWA DUNIA TULIONAYO SASA??? MTAKUFA, YAAN MTAULIWA SANA TU....Saizi watu kuua sio tatizo, watu wamepoteza Ubinadam .


Yangu ni hayo!!.
 
Back
Top Bottom