Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Na figo ya nini au ndiyo walikuwa wanapoteza watu maboya, 1.7m unaenda kuua mtu kana kwamba unaua swala? Watakuwa wauaji wazoefu, mpenzi naye watu walioana wana achana na kisalitiana hawauani wewe mpenzi tu kumpangishia chumba tu! Ukute chumba chenyewe cha elf 30 acha sheria ifuate mkondo wake.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Poleni sana kwa ndugu wa huyo mdada, na wadada mjichunge sana hili liwe somo utu sikuhizi hakuna
 
Kuna rafiki yangu wa kiume anasemaga hatembei na mwanamke ambae wako level tofauti kijamii. Na anasemaga hata kwa wanawake pia inatakiwa kuwa hivyo. Watu wengi ambao wanajihisi wako jamii ya chini dhidi ya wapenzi huwa wako bitter na control freaks. Mfano mwanamke hana kazi anapewa kila kitu na mwanaume siku yule mwanaume akimuacha lazima mwanamke atafanya vingi vya ajabu ikiwezekana hata kujiua. Same applies kwa wanaume type ya White muuaji. Barke ni kisu haswa, white aliamini kwa pesa zake angemmliki Barke peke ake. Alishajua yeye na Barke ni jamii mbili tofauti akalazimisha kwa pesa...
White angekua ni mtu ana pesa zake asingeumia kulipa kodi eti atoe uhai sana sana angeelewa tu Barke hampendi anafanya maisha mengine.

Kwa kuandika haya ukiona mwanaume maisha yake ya kuunga unga usile pesa yake, kama humtaki bora ukae nae mbali tu. Na sio tu kula pesa hata usidate nae maana ukishadate nae utakula pesa yako na hiyo ndo itakutumbukia nyongo baadae.

Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira hasira na wanajua wanawake wanawakataaga kwa sababu hiyo ndo maana hata akiachwa anaona kaachwa kwa sababu hiyo kumbe mapenzi yanaishaga.
Well said
 
Inaonesha zilikuwa ni rumours tu kutoka kwa 'mnyetishaji' wa mwanzo, check convo yangu na Nyani Ngabu
Hapo umefunga kazi ya majibu ya.figo, maana ID yako tu hapo JF tunaiheshimu kwa genuine story yoyote, ngoja nifuatilie hiyo yako na Nyani Ngabu
 
Na figo ya nini au ndiyo walikuwa wanapoteza watu maboya, 1.7m unaenda kuua mtu kana kwamba unaua swala? Watakuwa wauaji wazoefu, mpenzi naye watu walioana wana achana na kisalitiana hawauani wewe mpenzi tu kumpangishia chumba tu! Ukute chumba chenyewe cha elf 30 acha sheria ifuate mkondo wake.
Fala sana huyo mwanaume.
 
Hilo baunsa jinga sana mtoto mzuri namnaile lina muua!!.

Ningekuwa mimi ningechukua ela ninge kula tamu alaf namwambia oyaa tayari nimesha uwa tumapesayangu iliyo baki haraka kabla sijakufata na wewe.

Nachkua albakiyangu alaf namwambia dem poa baby see you next time.

Jinga sana hili bounsa.
Unakula pesa yake na unaenda kuripot polis
Ili lolote baya likitokea kwako bas ijulikane ni yeye
 
Angemjengea nyumba na kumnunuli gari na kumfungulia biashara angejiua na yeye akii
Wanaume kama kuhonga hamuwezi acheni tu vitu vidogo tu hivyo unaua mtu
Asingejiua yeye, angemaliza ukoo wote wa mwanamke!
 
Tabata ni kata katika mkoa wa Dar es Salaam, Kata hiyo ipo jijini, katika wilaya ya Ilala, mtaa wa Mandela. Kata ya Tabata imegawanyika katika maeneo mengi; baadhi ya hayo ni kama Tabata Bima, Tabata Kimanga, Tabata Shule, Tenge, Tabata, Segerea kinyerezi etc .
kwa mujibu wa nani, makonda wa daladala ?????????

na Segerea napo kuna Segerea ya Tabata ??

wapi imeandikwa kwenye jiographia ya mkoa kwamba hapa mpaka pale pataitwa Tabata Calabash Pub, pale Tabata Segerea na pale Tabata kwa bii Kidawa ????

taarifa ya polisi inatumia majina ya vitongoji according to vituo vya dala dala, Tabata Calabash Bar, Tabata Segerea.... taifa la watu illiterate
 
Tabata ni kata katika mkoa wa Dar es Salaam, Kata hiyo ipo jijini, katika wilaya ya Ilala, mtaa wa Mandela. Kata ya Tabata imegawanyika katika maeneo mengi; baadhi ya hayo ni kama Tabata Bima, Tabata Kimanga, Tabata Shule, Tenge, Tabata, Segerea kinyerezi etc .

Hongera sana kwa ufafanuzi ungekosa wewe naamini asingepata muungwana wakumfahamisha yote hayo.
Wakina sisi tungeanza kumuuliza yeye yupo wapi alafu tunaaza kumuambia ukipanda magari ya wapi wapi unashuka unapanda la wapiwapi kituo cha mwisho ndio segerea hahahaaa.

Nadhani wewe ni mtumishi wa uma.
 
Kuna rafiki yangu wa kiume anasemaga hatembei na mwanamke ambae wako level tofauti kijamii. Na anasemaga hata kwa wanawake pia inatakiwa kuwa hivyo. Watu wengi ambao wanajihisi wako jamii ya chini dhidi ya wapenzi huwa wako bitter na control freaks. Mfano mwanamke hana kazi anapewa kila kitu na mwanaume siku yule mwanaume akimuacha lazima mwanamke atafanya vingi vya ajabu ikiwezekana hata kujiua. Same applies kwa wanaume type ya White muuaji. Barke ni kisu haswa, white aliamini kwa pesa zake angemmliki Barke peke ake. Alishajua yeye na Barke ni jamii mbili tofauti akalazimisha kwa pesa...
White angekua ni mtu ana pesa zake asingeumia kulipa kodi eti atoe uhai sana sana angeelewa tu Barke hampendi anafanya maisha mengine.

Kwa kuandika haya ukiona mwanaume maisha yake ya kuunga unga usile pesa yake, kama humtaki bora ukae nae mbali tu. Na sio tu kula pesa hata usidate nae maana ukishadate nae utakula pesa yako na hiyo ndo itakutumbukia nyongo baadae.

Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira hasira na wanajua wanawake wanawakataaga kwa sababu hiyo ndo maana hata akiachwa anaona kaachwa kwa sababu hiyo kumbe mapenzi yanaishaga.
Yaan umesema kweli kabisa
 
Hauwez jua labda ungeendelea kula kimasikhara maana umemuokoa na kifo yaani hata ukimpigia sa6 usik anapokea sim na akiweza anakuna mda huhuo 😀😀😀

Hahahaaa ingekuwa mchezo wa hatari sana jamaa lingejua unaendelea kula linge jitoa muhanga.
 
Hongera sana kwa ufafanuzi ungekosa wewe naamini asingepata muungwana wakumfahamisha yote hayo.
Wakina sisi tungeanza kumuuliza yeye yupo wapi alafu tunaaza kumuambia ukipanda magari ya wapi wapi unashuka unapanda la wapiwapi kituo cha mwisho ndio segerea hahahaaa.

Nadhani wewe ni mtumishi wa uma.
Asante, japo nahisi anapajua vizuri ila ameeuliza kimakusudi angalia comment yake ya chini
 
Back
Top Bottom