Dar: Waziri mkuu aongoza Wananchi kuaga miili ya waliofariki kwa ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa kariakoo

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza maelfu ya wananchi wa Dar es Salaam kuaga miili ya waliofariki kutokana na ajali ya kuporomoka kwa jengo la Ghorofa eneo la mtaa wa Congo na Mchikichi kata ya Agrey Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam lililoanguka tarehe 16 Novemba, 2023.

Tukio la ibada maalum ya kuwaombea na kuaga miili ya marehemu hao limefanyika Uwanja wa Mnazi Mmoja Dar es Salaam.

Soma Pia: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
 
Viongozi wa dini nawaona na kanzu zao safi kabisa . Hapo sawa. Wakitoa maoni tofauti....... kama bagonza....... wanachanganya dini na SIHASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…