Dar: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa DAWASA, Shaban Mkwanywe kwasababu ya uzembe kazini

Na kwa taarifa tu, ndg Waziri huyo meneja inaonekana amekula sana pesa za madawa ya kusafisha maji.

Rafiki yangu mmoja jana kanisimukia mkasa wa kwenda kazini huko Dar bila kuoga, kisa maji yanafanana na chai ya maziwa kwa takribani week nzima ''anasema"

Inakuwaje matanki yanayopokea maji yasiwekewe dawa au kuchuja maji kabla ya kuwafikia wateja?.

Kwani mapato mnayokusanya kwa wateja pamoja na bajeti mnayopewa na serikali haitumiki ipasavyo?.
 
Mamlaka ya uteuzi ilikosea sana kumtoa Eng. Luhemeja hapo Dawasa alifanya kazi kubwa sana, hizi changamoto ni matokeo ya kumtoa
 
Jiulize hao watendaji wa dawasa qameshindwa kuwafikishia watu maji kwa ajili ya mama hakuwatimizia mahitaji yao au ni uzembe wao wenyewe?
 
Kisheria Mhe. Waziri ana mamlaka gani ya kumsimamisha Kaimu Mkurugenzi wa DAWASA.
 
Hii inakaaje kobaaz kumsimamisha Kobaaz mwenzake ndugu yake katika imani?

adriz hydroxo Adiosamigo Webabu incharge Jagina green rajab
 
MWANGALIENI USON ANASUTWA. HUYU WAZIR NI MWIZI NA MSANII NA TAPELI. KUNA MREJESHO ALIUTAKA HUKU DAWAS HAKUPEWA NDIO MAANA ANAJIDAI KUSHUGHULIKIA WATENDAJI
Nakuunga mkono, yeye ndiye mwenye shida anakaa ofisini watu wamepiga kelele. Kuna watu miezi 6 hawana maji. Aliziba masikio, akawa chura kiziwi mdogo. Hiyo wizara imemshinda.
 
Hii inakaaje kobaaz kumsimamisha Kobaaz mwenzake ndugu yake katika imani?

adriz hydroxo Adiosamigo Webabu incharge Jagina green rajab
Hahaha inahusika nini wakiwa wana majina ya kislamu, mimi mbona Magu nilikuwa nampenda kuliko maraisi wote wa Tanzania, lakini alikuwa anawasumbua sana marafiki zangu, na hao marafiki zangu walikuwa wananichukia mimi eti namsifia dictator.


Haya Makondo mzee wa kazi namsifia na yeye ni Mkristo, we akili zako unadhani mimi nachukia wakristo, mbona wengi tu tulikuwa tunasoma nao mpaa leo ni marafiki zangu, wengine mpaa tulikuwa tunakula nao ugali majumbani kwao.

Mimi wananijua wazi sina matatizo nao, lakini sikubaliani nao kifrika na vitabu vyaa kuhusu Yesu, wao wanasema Yesu ni Mungu au Mtoto wa Mungu hapo ndio tunapishana.

Kuhusu hio issue ya maji hata awe ndugu yangu wa tumbo moja, akiwa kakosa ni lazima nimkosoe tu.

Wangemrudisha Luhemeja alifanya kazi nzuri, kwani ukiwa mkristo au muislam ndio nini.

Mchapa kazi haendi na dini anaenda na mawazo yake.

Kuna lingine.
 
Hahaha noted mkuu
 
Jamaa anaonekana ana kiburi alikuwa anatafuna Jojo Waziri akiongea naye.
 
Ungewafukukuza mbali kabisa na utumishi wa.umma. dsm ndio jiji linaloongiza kwa mapato halafu maji hakuna.

Wahuni hawa wananufaika na wauza maji ya malori.
 
Hakuna Logic ya kumfuta kazi mkurugenzi suala la ukosefu wa maji nchi hii ni suala la kufeli Kwa serikali iliyopo madarakani, pamoja na waziri wake
Lini umesikia Marekani waziri wa maji amemfuta kazi Mkurugenzi, haya mambo ni hayo hayo mambo ya aweso anajua Mkurugenzi sio mtu wake na amemzidi mshahara hivyo anamtafutia zengwe Ili aweke mtu wake, kama alivyoweka Mkurugenzi wa muwasa Moshi asiye na vigezo taratibu za vyeo zinataka Mkurugenzi awe na masters ya mambo hayo ya maji na degree juu, ila tunaendelea kuvunia katiba . Tunajua hata huyo mtu wako utakayemuweka matatizo hayataisha, kwasababu haya ni matatizo ya serikali, hivyo uonevu ni kawaida ya wanasiasa.

Nchini hii Ina matatizo makubwa ya kiutawala yaliyochangiwa na umaskini wa nchi hii pia.
 
Kila nchi ina taratibu zake.

Marekani wana taratibu zao na Tanzania ina taratibu zake.

Kwa taratibu za Tanzania waziri wa maji ana nguvu ya kumfukuza mkurugenzi wa maji.. maana waziri wa maji ndio bosi wa watu wote wanaodili na maji.

Kama maji hayatoki na Mkurugenzi amezembea acha atimuliwe tu
 
Mods ungamisha huu Uzi.

Aweso fukuza hao vilaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…