TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Na kwa taarifa tu, ndg Waziri huyo meneja inaonekana amekula sana pesa za madawa ya kusafisha maji.
Rafiki yangu mmoja jana kanisimukia mkasa wa kwenda kazini huko Dar bila kuoga, kisa maji yanafanana na chai ya maziwa kwa takribani week nzima ''anasema"
Inakuwaje matanki yanayopokea maji yasiwekewe dawa au kuchuja maji kabla ya kuwafikia wateja?.
Kwani mapato mnayokusanya kwa wateja pamoja na bajeti mnayopewa na serikali haitumiki ipasavyo?.
Rafiki yangu mmoja jana kanisimukia mkasa wa kwenda kazini huko Dar bila kuoga, kisa maji yanafanana na chai ya maziwa kwa takribani week nzima ''anasema"
Inakuwaje matanki yanayopokea maji yasiwekewe dawa au kuchuja maji kabla ya kuwafikia wateja?.
Kwani mapato mnayokusanya kwa wateja pamoja na bajeti mnayopewa na serikali haitumiki ipasavyo?.