Dar yakumbwa na Mgao wa Maji. Ratiba ipo hivi;

Dar yakumbwa na Mgao wa Maji. Ratiba ipo hivi;

Viongozi tunaowachagua ili watatue ama kupunguza matatizo katika jamii, ndio wamekuwa chanzocha matatizo yetu. Imefika mahala sasa badala ya kuleta suluhu, wanatuletea ratiba ya matatizo
 
Failed State..., Kama unao uwezo for and and future kuweka tank ni muhimu na uvunaji wa mvua huko tunakoelekea itakuwa ni jambo la lazima....
 
Kiluvya ipo Dar wilaya ya Ubungo mpaka wa Dar na Pwani ni pale darajani kabla hujafika ilipokua mizani ya zamani yaani mpaka ni mto Mpiji.
Acha uongo.
Kiluvya ni kata ya Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani.
Screenshot_20221027-143200.jpg
 
Kama umetokea Mbezi Louis unaenda Kibaha upande wa kushoto(Kiluvya) ni Kisarawe ambayo ni mkoa wa Pwani na upande wa kulia ni Kibamba wilaya ya Ubungo ambayo ni mkoa wa Dar es Salaam.
Kiluvya ipo Dar wilaya ya Ubungo mpaka wa Dar na Pwani ni pale darajani kabla hujafika ilipokua mizani ya zamani yaani mpaka ni mto Mpiji.
 
Kama umetokea Mbezi Louis unaenda Kibaha upande wa kushoto(Kiluvya) ni Kisarawe ambayo ni mkoa wa Pwani na upande wa kulia ni Kibamba wilaya ya Ubungo ambayo ni mkoa wa Dar es Salaam.
Kweli, kuna matapeli walimtapeli Jamaa yangu, kwa kumuuzia kiwanja cha mtu, ofisi zao, kama unaenda kisarawe, ukivuka tu line kubwa ya umeme, kabla njia panda kwenda kwa Sumae.

Tukaenda polisi gogoni, wakatiambie twende kisarawe, kule wako wilaya ya kisarawe.
 
Tunaeleweshana mimi nipo gogoni upande wa kituo kikuu cha Polisi W/ya Ubungo kiluvya iko pote pote Dar na Pwani.
Mpaka wa mkoa ni Morogoro Road.
Kama umetokea Mbezi Louis unaenda Kibaha upande wa kushoto(Kiluvya) ni Kisarawe ambayo ni mkoa wa Pwani na upande wa kulia ni Kibamba wilaya ya Ubungo ambayo ni mkoa wa Dar es Salaam.
 
Uko sahihi 100% Kiluvya ni Kisarawe mkoa wa Pwani.
Kweli, kuna matapeli walimtapeli Jamaa yangu, kwa kumuuzia kiwanja cha mtu, ofisi zao, kama unaenda kisarawe, ukivuka tu line kubwa ya umeme, kabla njia panda kwenda kwa Sumae.

Tukaenda polisi gogoni, wakatiambie twende kisarawe, kule wako wilaya ya kisarawe.
 
Nipo Bunju Beach, nimekesha kusubiri hayo maji, hata tone hayajatoka. Kwa jirani yametoka kidogo, hii ratiba irekebishwe maana ni ya uwongo, maji yakitoka eneo flani ni kwenye baadhi tu ya nyumba na kwenye visima vya Dawasa ili wapate maji ya kutuuzia. Tatizo la mgao imekuwa fursa ya kutudalalia maji Bunju wanatuuzia lita 1000 kwa shillingi 30,000 na jana wakatupandishia mpaka shilingi 35,000. Badala ya kutoa huduma hii mamlaka imegeuka kuwa water profiteer. Wenye uwezo chimbeni visima, tusioweza tuhamie Burundi
 
Dawasa watafute vyanzo vingine vya maji kuihudumia dsm wasitegemee mto ruvu pekee.. wachukue na chanzo mto rufiji maana maji mengi yanaishia kuingia baharini tu
 
Ratiba walioitoa Dawasco ni Feck ,walisema siku ya jmosi ndio mgao wa Maji maeneo tajwa ya Ruvu chini ila mpka sasa MBWENI ,MPIJI NA MAENEO MENGI YA HUKU HAKUNA MAJI WEEK YA 2..au sikuelewa vizuri Ratiba ?

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom