Hujui watanzania Mimi numefatilia msafara wakuanzia jasiri muongoza njia mengi na tulichuma maua. Hafu kwa utamaduni kibongo misiba hujaa sanaUnaweza kukimbizana na msafara Kweli Wayule usiyempenda Kweli!
Unaweza tandika khanga njiani kweli!
Umenena Mkuu.Na huu utamaduni ni mzuri sana hata kiimani tunaaswa hivyo.Watanzania hatuna utamaduni wa kumchukia marehemu
Safi mkuu.We mwendawazimu wa mtandaoni!
Katafute cheti halali kwa kusoma, usihamishie uzembe wako kuchukia wasiochukiwa mfyuuuuu!
Kwa sababu jf kuna wafanyakazi,wafanyabiashara na wenye mambo yao.Nilichogundua ni kwamba magufuli anapendwa Sana na watu wenye maisha ya kawaida ila Kwa watu wlioguswa biashara, kazi na mambo yao hawamkubari ila kiaslimia magufuli anapendwa na watu wengi ukilinganisha na wasiompenda. Sana Sana wasiompenda wapo JF.
Waongo na wanafikiWanasema wameletwa na malori
Hamna Cha kujizimisha in short ukiwa kwa nyomi ka Hilo kunywa maji huwezi zimia, pia he is gone kazi kwetu tulio hai tutalifamyia nini taifa letuKwa hiyo hujazimia si ndio?.
Kila mwaka wanaohitimu vyuo ni zaidi ya 700,000,je,hata km tukikupa Wewe Uraisi je,utaweza kuwaajiri wote??.Ukosefu wa ajira
Mwendawazimu aliyekuzaa kwani Mimi ndo Israel mtoa roho hadi unimalizie hasira mfyuuuu shika adabu yake mfyyuuuxiiieWe mwendawazimu wa mtandaoni!
Katafute cheti halali kwa kusoma, usihamishie uzembe wako kuchukia wasiochukiwa mfyuuuuu!
OK samahani mkuuFuta maneno yako hayo ya mwishoni.Tupo Wana JF tuliompenda bwana.
Wengi naamini wameenda kushangaa tuu zile rieso za jeshiTizama nyomi ya watu, Kweli jamaa alisema tutamkumbuka.
Angalia msafara kuelekea air port.
Huyo jasiri aliyekuwa mwathirika na Mimi nijipeleke sina akili timamu, siishi kwa kutegemea wanaume so siwezi ku risk maisha yanguWewe bila shaka una bifuna zaradi sababu ulikua unaiba mzigo wake
Mkuu, kubali hii ya jpm ilikua tofauti...Yaani unawashangaa Wabongo kujaa kwenye matukio wakati kazi hawana?! Tafuta clip ya Msiba wa Kanumba na Ruge Mutahaba!!! Bongo hata akifa Amber Rutty kisha tukio lipate airtime na hatimae kupelekwa Taifa, lazima nyomi liwepo!!!
Unaonekana kama hauna akili timamu ndio maana nimesema hivyo....Huyo jasiri aliyekuwa mwathirika na Mimi nijipeleke sina akili timamu, siishi kwa kutegemea wanaume so siwezi ku risk maisha yangu