Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hata kifo cha Kanumba watu walilia na kuzimia kabisaHii ni tofauti watu wanalia na baadhi kuzimia kabisa.
Una umri gani?Aisee ummati huu sijawahi shuhudia
Mtu yeyote akifa huwa inakuwa hivyo hata Idi Amin alipokufaNilichogundua ni kwamba magufuli anapendwa Sana na watu wenye maisha ya kawaida ila Kwa watu wlioguswa biashara, kazi na mambo yao hawamkubari ila kiaslimia magufuli anapendwa na watu wengi ukilinganisha na wasiompenda. Sana Sana wasiompenda wapo JF.
Unaonea wivu maitiWatu walienda kuangalia mabomu yalivyokuwa yanalipuka Mbagala itakuwa hilo?Hivi hata shetani akiletwa Tanzania na tukaambiwa tutoe kiingilio tutalipaππππππππππππ
Aliyekuzaa Hana akili na wewe huna akili ndio maana humu JF huandika pumba za chama chako ka wewe huandika ujinga hafu mwanaume siutaharibu kizazi chako. Useless creature aka kibamiaUnaonekana kama hauna akili timamu ndio maana nimesema hivyo....
Mwambie huyo fala.Kila mwaka wanaohitimu vyuo ni zaidi ya 700,000,je,hata km tukikupa Wewe Uraisi je,utaweza kuwaajiri wote??.
Sijaishia hapo.Soma vizuri.Nimeonesha husda hadi kwa shaitwani!ππππUnaonea wivu maiti
Mwenye macho kaonaHii umepima kwa utafiti wa watu wanaoenda kuaga au?
Kutoajiri kabisa au kujenga mazingira waajiriwe na sekta binafsi ni tofauti na kuajiri kiasi haohao wengi.Mwambie huyo fala.
Weye ni mburula cubed! Hivi Magufuli alikukosea nini hasa zaidi ya ww kutukosea kwa kufoji vyeti, au kufisadi, au kuuza unga!Mwendawazimu aliyekuzaa kwani Mimi ndo Israel mtoa roho hadi unimalizie hasira mfyuuuu shika adabu yake mfyyuuuxiiie
Wewe umechaganyikiwa si bure maoni yangu yanahusikaje na kupenda mtu nisiyemjua acha emotions na heshimu maoni ya watu nyie ndo wale mliotofautiana nao mliwaua na kuwapoteza jua tu duniani tumetofautiana na usiforce watu wafanane sawa wewe mchunga ng'ombeWeye ni mburula cubed! Hivi Magufuli alikukosea nini hasa zaidi ya ww kutukosea kwa kufoji vyeti, au kufisadi, au kuuza unga!
Ukifanya ysliyo halali nani atakugusa we nyumbu ww!?
Nadhani kashaipata fresh yake.Anabwabwaja tu bila kuelewa anachokiongea.Mwambie huyo fala.
[emoji1666][emoji1666]OK samahani mkuu
Kumbe dishi lako siyo tu limeyumba, limeshakata nyaya! Linahitaji overhaul! Kuna vitu vya kutofautia lakini hiki hapana kipo 'crystal clear' I see we mbuzi ww!Wewe umechaganyikiwa si bure maoni yangu yanahusikaje na kupenda mtu nisiyemjua acha emotions na heshimu maoni ya watu nyie ndo wale mliotofautiana nao mliwaua na kuwapoteza jua tu duniani tumetofautiana na usiforce watu wafanane sawa wewe mchunga ng'ombe
Nimekupata sana CarihaHamna Cha kujizimisha in short ukiwa kwa nyomi ka Hilo kunywa maji huwezi zimia, pia he is gone kazi kwetu tulio hai tutalifamyia nini taifa letu
Wewe umechaganyikiwa na msiba si bure kaa chini kunishambulia hakutamfufua mpendwa wako relaxKumbe dishi lako siyo tu limeyumba, limeshakata nyaya! Linahitaji overhaul! Kuna vitu vya kutofautia lakini hiki hapana kipo 'crystal clear' I see we mbuzi ww!