Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Watu walienda kuangalia mabomu yalivyokuwa yanalipuka Mbagala itakuwa hilo?Hivi hata shetani akiletwa Tanzania na tukaambiwa tutoe kiingilio tutalipaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata msiba wa mtoto wa Munalove (Patrick) ulipata nyomi la kutosha, so sio big deal!
 
Nilichogundua ni kwamba magufuli anapendwa Sana na watu wenye maisha ya kawaida ila Kwa watu wlioguswa biashara, kazi na mambo yao hawamkubari ila kiaslimia magufuli anapendwa na watu wengi ukilinganisha na wasiompenda. Sana Sana wasiompenda wapo JF.
Mtu yeyote akifa huwa inakuwa hivyo hata Idi Amin alipokufa
 
Watu walienda kuangalia mabomu yalivyokuwa yanalipuka Mbagala itakuwa hilo?Hivi hata shetani akiletwa Tanzania na tukaambiwa tutoe kiingilio tutalipaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unaonea wivu maiti
 
Unaonekana kama hauna akili timamu ndio maana nimesema hivyo....
Aliyekuzaa Hana akili na wewe huna akili ndio maana humu JF huandika pumba za chama chako ka wewe huandika ujinga hafu mwanaume siutaharibu kizazi chako. Useless creature aka kibamia
 
Mwendawazimu aliyekuzaa kwani Mimi ndo Israel mtoa roho hadi unimalizie hasira mfyuuuu shika adabu yake mfyyuuuxiiie
Weye ni mburula cubed! Hivi Magufuli alikukosea nini hasa zaidi ya ww kutukosea kwa kufoji vyeti, au kufisadi, au kuuza unga!
Ukifanya ysliyo halali nani atakugusa we nyumbu ww!?
 
Weye ni mburula cubed! Hivi Magufuli alikukosea nini hasa zaidi ya ww kutukosea kwa kufoji vyeti, au kufisadi, au kuuza unga!
Ukifanya ysliyo halali nani atakugusa we nyumbu ww!?
Wewe umechaganyikiwa si bure maoni yangu yanahusikaje na kupenda mtu nisiyemjua acha emotions na heshimu maoni ya watu nyie ndo wale mliotofautiana nao mliwaua na kuwapoteza jua tu duniani tumetofautiana na usiforce watu wafanane sawa wewe mchunga ng'ombe
 
Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka jana viwanja vilijaa watu kumsikiliza Magufuli. Wapinzani wakasema, watu walienda viwanjani kufuata wasanii, hawajamfuata Magufuli. Matokeo yalipotoka wapinzani wakasema kura zimeibwa, lakini tofauti na awamu zote zilizopita hawakufungua kesi hata moja kuhusu kuibiwa kura katika jimbo lolote la uchaguzi. Leo watu wamejaza viwanja na barabara kudhihirisha upendo wao kwa Hayati Magufuli. Wapinzani wako ooh hata Idd Amini alikuwa hivyo. Khaa! Inatafakarisha sana
 
Wewe umechaganyikiwa si bure maoni yangu yanahusikaje na kupenda mtu nisiyemjua acha emotions na heshimu maoni ya watu nyie ndo wale mliotofautiana nao mliwaua na kuwapoteza jua tu duniani tumetofautiana na usiforce watu wafanane sawa wewe mchunga ng'ombe
Kumbe dishi lako siyo tu limeyumba, limeshakata nyaya! Linahitaji overhaul! Kuna vitu vya kutofautia lakini hiki hapana kipo 'crystal clear' I see we mbuzi ww!
 
Kumbe dishi lako siyo tu limeyumba, limeshakata nyaya! Linahitaji overhaul! Kuna vitu vya kutofautia lakini hiki hapana kipo 'crystal clear' I see we mbuzi ww!
Wewe umechaganyikiwa na msiba si bure kaa chini kunishambulia hakutamfufua mpendwa wako relax
 
Back
Top Bottom