Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Muache haiage nchi ya ndoto zake.
Kwa mara ya mwisho.
Mjue ndo arudi tena hyo.IMETOKA IMEBAKI STORY HATUTAMUONA TENAAAAA.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hebu tuchukulie labda anao ufahamu ila kwa kuwa ni macho ya kibanadamu tumefumbwa tusione hilo. Unadhani atakuwa anafurahia namna hiyo?
 
Kwakweli, me namuomba madam president abadilishe DPP pia, huyu aliepo ni chanzo cha mrundikano wa cases nyingi mahakamani na pia akipenda amteue Prof. Mussa Asad kuwa Prime minister au Vice President.
Mkuu sikumbuki vizuri ni either katiba au sheria ile ya CAG inasema kwamba ukishakua CAG hauwezi teuliwa nafasi yoyote ile tena...hili tulilisoma kipindi kile cha timbwili la huyu marehemu kutengua uteuzi...wa CAG
 
Mapadre na masista wengi wamekufa kwa Corona sababu kutwa wako Vatican Italia kwenye corona ndio maana maaskofu na mapadre wanavaa barakoa kwenye misa wakati wanakwaya na waumini hawavai barakoa Kanisani kwenye Misa
 
Mwacheni mzee wa watu apumzike,korona hii ana avoid mikusanyiko isiyo ya lazima.
 
Kwanini asifurahie?.
Anajua ndo mwisho tena.anarudi mavumbini.
Hebu tuchukulie labda anao ufahamu ila kwa kuwa ni macho ya kibanadamu tumefumbwa tusione hilo. Unadhani atakuwa anafurahia namna hiyo?
 
Vyovyote iwavyo mama aachane na group za mtangulizi wake.

Wasiojulikana wameua sana. Alikuwa na wapambe wa kumpa mizuka walikuwa wanasingizia na kuwabambikia watu kesi ili awape vyeo maana ilifikia kipindi ukisingiziwa kumtukana Rais ulikuwa ni uhaini. Na hii imefanya watu wako mahabusu mbalimbali kwa kuonewa.
Wanagawana vyeo Kabula hata hajazikwa. Tanzania is a sad story. They eventually managed to kill him, Shane on them. Tell us the truth. Mlimtoa muhimbili kepeleka kwa mzena on what grounds? Keep alikuwa amekufa?
The country is so rich, you can see they were missing a lot, wait on how the will be richer and richer when the poor can’t even have access to doctors. Was wanatibiwa nje!
 
Vyovyote iwavyo mama aachane na group za mtangulizi wake.

Wasiojulikana wameua sana. Alikuwa na wapambe wa kumpa mizuka walikuwa wanasingizia na kuwabambikia watu kesi ili awape vyeo maana ilifikia kipindi ukisingiziwa kumtukana Rais ulikuwa ni uhaini. Na hii imefanya watu wako mahabusu mbalimbali kwa kuonewa.
Tunawajuawa waliomuua, ona wanavyogawana vyeo
 
Back
Top Bottom