Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Kwani wewe ulidhani ni maangamizi ya nini...?KIKOSI CHA MAANGAMIZI YANGA KITAKACHOCHEZA NA GOR MAHIA KOMBE LA SHIRIKISHO LEO, ROSTAND KAMA KAWA - SALEH JEMBE
Nmejiuliza sana walipoandika kikosi cha maangamizi ila nikapata jibu wamekosea walitaka kuandika kikosi maandazi
πππKwa nini usitumie tu kiswahili? Let's me know... Ndo nini?
Wanaangamiza nini. MkuuKwani wewe ulidhani ni maangamizi ya nini...?
Hujayaona hayo maangamizi??
Katika zile goli 4 za Nairobi, Yanga walipata goli moja, lakini lilikuwa la kujifunga (Mwinyi Haji)yanga bana hatua ya makund mpaka sasa wamepigwa bao 10 hawajafunga hata 1
KIKOSI CHA MAANGAMIZI YANGA KITAKACHOCHEZA NA GOR MAHIA KOMBE LA SHIRIKISHO LEO, ROSTAND KAMA KAWA - SALEH JEMBE
Nmejiuliza sana walipoandika kikosi cha maangamizi ila nikapata jibu wamekosea walitaka kuandika kikosi maandazi