Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yataje hayo mapungufu mkuuTaarifa hii ina mapungufu.
Source ni BOT bwashee au ulitaka GeitaTaarifa hii ina mapungufu.
Dodoma ni Number 5 umepitwa hadi na Mwanza na KilimanjaroSio Dodoma tena?
Dodoma shida nini..?Dodoma ni Number 6 umepitwa hadi na Mwanza na Kilimanjaro
1. Gereza la kunyonga.Dodoma shida nini..?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah ngoja tuibadilishe sasa1. Gereza la kunyonga.
2. Hospital ya vichaa
3. Bunge kupitisha sheria mbovu na mbaya
4. Hakuna upako, laana tupu.
Na viwanda vya mafuta....Tanga kinachoifanya iwe juu hivyo pamoja na wavivu waliojazana mle ni kitu gani? Au Tanga Cement kiwanda?
Mkonge na Bandari.Tanga kinachoifanya iwe juu hivyo pamoja na wavivu waliojazana mle ni kitu gani? Au Tanga Cement kiwanda?
Wana bandari na viwanda vya kutosha tuTanga kinachoifanya iwe juu hivyo pamoja na wavivu waliojazana mle ni kitu gani? Au Tanga Cement kiwanda?
Mwanza inapuliwa hata na KLM ,mama amefungulia ule mpaka wa holili soon tutapiga namba tatuTukiwaambia Arusha ni muhimu kuliko Mwanza mtulie
Tuanzie kwenye maana ya hizi takwimu. Haya ni mapato yatokanayo ya wafanyabiashara na PAYE. Ukiona iko kubwa kwenye mkoa wako ujue either kuna biashara chache zinazouza sana au waajiriwa wachache wanaolipwa vizuri au wafanyabiashara wachache waaminifu au ajira lukuki zinazotoa ajira ndogondogo au wafanyabiashara wengiiii na wanaolipa kodi kwa uaminifu. Hii ni tofauti na GDP pamoja na GDP per capita.Tukiwaambia Arusha ni muhimu kuliko Mwanza mtulie
Tuanzie kwenye maana ya hizi takwimu. Haya ni mapato yatokanayo ya wafanyabiashara na PAYE. Ukiona iko kubwa kwenye mkoa wako ujue either kuna biashara chache zinazouza sana au waajiriwa wachache wanaolipwa vizuri au wafanyabiashara wachache waaminifu au ajira lukuki zinazotoa ajira ndogondogo au wafanyabiashara wengiiii na wanaolipa kodi kwa uaminifu. Hii ni tofauti na GDP pamoja na GDP per capita.