OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamlaka husika zilithibitisha na kutoacha shaka?Ikiwa ndio wahamiaji haramu ile ndio ilikuwa hukumu yao halali?Zile nyingine zilisemwa ni wahamiaji haramu.
Kweli?Acheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
Kwa hiyo yote inakuja tanzaniaAcheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
Umesoma ulichoandika?Acheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
unatia hurumaAcheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
Hao itakuwa ni wakosoaji wa silikari yetu....
Tuwe makini huyu bwana anakotupeleka sio..
Kma kipindi cha nyerere hii ilotokeaga and ilikuwa ni big issue..
Lkn sikuhz eti ni kawaida tu kuskia mambo kma hayo
Kwa mtindo huu wa maiti ndani ya viroba Bahari inafika pia Ruvu !!?? au umesahau viroba vya Ruvu !!??Acheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
Mkuu tunazungumzia viroba vya baharini, nakukumbusha.Kwa mtindo huu wa maiti ndani ya viroba Bahari inafika pia Ruvu !!?? au umesahau viroba vya Ruvu !!??
Hivi akili zenu mmeshikiwa na nani? Wewe binafsi kuwa mkweli na nafsi yako, umepotelewa na nani? au nani kalalmika kuwa amepotelewa/ watu 15 sio kidogo, wangapi hapa JF wanafahamu waliopotelewa zaidi ya Propaganda ya Ben Saanane?unatia huruma
Umesoma ulichoandika?
sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
Mkuu Baharinini maji yanatembea kwenda ufukweni! Kwa tuliowahi ishi visiwani na pemebezoni mwa baharini maiti ufukweni ni jambo la kawaida.Kwa hiyo yote inakuja tanzania
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Jambo hili linahitaji uelewa?
Vipi !? Umepatwa na hofu ya Mungu au mbona ghafla umejishtukia !!?? Na Ndio ni kweli damu ya mtu aiwachi muuaji salama .Hata Mimi kama tumefika hapa siamini kama Niko salama!Damu ya MTU haijawahi kumwacha muuaji salama.
Sent using Jamii Forums mobile app