Dar, Zanzibar: Hofu Maiti 15 zikikutwa kwenye viroba

Inaogofya!!! Kuna katibu wa msikiti hapa temeke alitekwa tangu wiki iliyopita na mpaka sasa hajulikani alipo si huyo tu bali kuna matukio kadhaa ya vijana wa kiislamu kutekwa na kutojulikana wapi wanapelekwa, it might be si hao tu bali na wengine wengi wasio hao kama tulivyokwiasha shuhudia kwa akina Ben Saanane. Tupo katika hali Mbaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


mkuu
nakubaliana na wewe... upo uwezekano wa mfumo wa kuwa poteza watu kimya kimya... hofu ni kwamba unatumika kisiasa au kwa maslahi yao kama wa kule kibiti !?....
 
Bahari haiifadhi maiti zaidi ya kuiharibu, na ikiharibika mambo yoote yameharibika,
 
ngoja vurugu za uchaguzi ziishe kule kenya na halihiyo itaisha
 
Nchi hii inauwa kimya...kimya watu inaowahisi ni wapinzani wake
Hii inatishia hasa kutokana na baadhi ya watu waliopoteana na..ndugu wataanza kuhisi wameuliwa ambapo huko nyuma hatukuwahi kuwaza hivyo
Utupaji wa maiti baharini kama Rwanda wanavyotupa mto kagera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja ya humu JF kutambuana maana kwa hali hii inaonekana kuna watu wasio maarufu wanapotea kimya kimya..
Kuna kijana karibuni aliachiwa toka kwenye "safe camp" inayosadikiwa ya idara mbele ya mbaggala kwenye pori moja ....alisema huko wengi ni vijana wasio maarufu wanaokamatwa kwa...makosa ya kumtukana mkubwa au seerikali...wako wengi sana
 

Kuna ndugu yako yoyote anayejua kama una ID huku JF? Hivi mtu akakufuatilia ukauwawa au ukafa tu kifo cha kawaida hapa JF tutapataje taarifa kama umekufa?, Binafsi hata nikifa leo hakuna atakayejua humu JF kama nimekufa..

Tujiulize kwa nini viroba, last time ilikuwa Mto Ruvu, juzi juzi tena kuna maiti imeokotwa ufukwe wa bahari Dar iko kwenye kiroba, leo tunaambiwa miili mitano kule Zanzibar, labda katika historia yako huko nyuma ulishawahi kusikia kuna maiti zimeokotwa Tanzania iko kwenye viroba?,
 
Tujikumbushe kidogo mitikasi ya mwendakuzimu😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…