Sisi wapalestina na warusi wa nyanchenche tumefurahi sanaDaraja hilo laanguka baada ya kugongwa na meli, na inadaiwa gari kadhaa zilizokuwepo kwenye daraja hilo zimeanguka na daraja hilo hapo Nchini Marekani.
View: https://www.instagram.com/reel/C4-EQdoNcR2/?igsh=YnUwYWd0cng1aTdv
Daraja la Baltimore ni moja ya miundo maarufu ya kivuko katika jiji la Baltimore, katika jimbo la Maryland, Marekani. Lilijengwa mwaka 1957 na linavuka Mto wa Patapsco. Daraja hili linaunganisha sehemu mbili za jiji na ni sehemu muhimu ya miundombinu ya usafiri katika eneo hilo. Ni moja ya vivuko maarufu vinavyohudumia trafiki ya gari kwa jumla ya magari zaidi ya 6,000 kwa siku.
Sir God fundiSisi wapalestina na warusi wa nyanchenche tumefurahi sana
Ingekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.Wasije kusema tu huo ni ugaidi
Daraja limeanguka kama titanic vile..Sisi wapalestina na warusi wa nyanchenche tumefurahi sana
Huwezi kufurahia maafa ya binadamu wenzako,Hivi mdivyo Mungu anavyoonyesha jinsi nchi ya Amerika,inavyosababisha kuwepo na vikundi visivyo vya amani,na yeye wakati wowte yaweza kumtokea maafa,bila kutegemea.Amani duniani ni muhimu sana.Sisi wapalestina na warusi wa nyanchenche tumefurahi sana
Nimeipenda hii ,,,umepiga kwenye mshonoIngekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
Nikweli kabisa wala hujakosea, Ugaidi ni sehemu ya uislam.Ingekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
Wewe unaona ni ugaidi au ni ajali ya kawaida!?Ingekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
CIA mna swagga nyie kha🤣Put in side put in out.