Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
🤣🤣🤣Ingekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Ingekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
Nimeipenda hii ,,,umepiga kwenye mshonoIngekuwa ni meli ya nchi yenye waislamu wengi wangesema ni ugaid.Lakini Meli sio ya waislam au ya nchi sio ya waislam wengi,watasema ni ajali ya kawaida.
Wanapenda attention SanaISIS wa mamluki wa Marekani watasema wanahusika
Sure, lakin kwakua mwenye kusaabisha vifo ndo kakutwa, sina budi kua bize na issue binafsi paspo kuombolezaHuwezi kufurahia maafa ya binadamu wenzako,Hivi mdivyo Mungu anavyoonyesha jinsi nchi ya Amerika,inavyosababisha kuwepo na vikundi visivyo vya amani,na yeye wakati wowte yaweza kumtokea maafa,bila kutegemea.Amani duniani ni muhimu sana.