Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili daraja mbona limemalizika haraka sana .... Yaani mwaka kama moja tu!!Tuzidi kumuunga mkono Mama Samia anazidi kuchapa kazi kimya kimya.
#mimi na magufuli ni kitu kimoja#
Bado sana,lile linaloonekana wanasema sio daraja lenyewe,ile ni njia ya kupitisha vifaa na kujengea darajaHili daraja mbona limemalizika haraka sana .... Yaani mwaka kama moja tu!!
Ndio kwanza wanaanza, daraja litaisha 2024 or 2025, hiyo ni njia tu ya kupitisha vifaa.Hili daraja mbona limemalizika haraka sana .... Yaani mwaka kama moja tu!!
Naona buku 7 wanashanhiliaBado sana,lile linaloonekana wanasema sio daraja lenyewe,ile ni njia ya kupitisha vifaa na kujengea daraja
Ok. Hapo sawa ...............!!Bado sana,lile linaloonekana wanasema sio daraja lenyewe,ile ni njia ya kupitisha vifaa na kujengea daraja
Daraja hili mle hongera HAYATI tafadhariTuzidi kumuunga mkono Mama Samia anazidi kuchapa kazi kimya kimya.
#mimi na magufuli ni kitu kimoja#
Buku 7 ni tatizo sana kwenye hii nchiNaona buku 7 wanashanhilia
Kuna mwamba anajitaidi kua Mzungu na kushangaa kwa lazima ila holaTuzidi kumuunga mkono Mama Samia anazidi kuchapa kazi kimya kimya.
#mimi na magufuli ni kitu kimoja#
View attachment 1937123
Anaesema You know what au??Kuna mwamba anajitaidi kua Mzungu na kushangaa kwa lazima ila hola
Buku 7 ni tatizo sana kwenye hii nchi
Sasa ni zamu ya kuifanya Pemba kuwa New YorkTuzidi kumuunga mkono Mama Samia anazidi kuchapa kazi kimya kimya.
#mimi na magufuli ni kitu kimoja#
View attachment 1937123