Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Zingejenga barabara nyingi zaidi Dar na kuwanufaisha wengi zaidi ya hao watanashati wa Oyster-bayHizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zingejenga barabara nyingi zaidi Dar na kuwanufaisha wengi zaidi ya hao watanashati wa Oyster-bayHizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!
foreni, foreni, foreni. FORENI NI NINI? Inakera sana.Hahahaha, mwenzetu unaishi mkoa gani? Sisi wanaopita hapo kutoka sehemu za Tegeta, Mwenge kwenda Posta tumeshaona faida la hili daraja.
Yani hatupotezi masaa mengi katika foreni za magari mpaka tumeshasahau usumbufu wa foreni ya zamani eneo hilo. Cha ajabu, hata barabara ya zamani nayo foreni imesha. Usikae tu kijijini njo utembee na Dsm pia.
Mkuu kwa mtoto wa kike, binti, na msichana, vile viti , ana matiti baadaye huwa yanakazi gani? mBONA mUNGU ALIWAPAEti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?
Hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
We umekulia na kwashiakor, unaweza kulinganisha daraja la Wami na la Tanzanite? Ni ubinafsi kwa kuwa unakaa Dar es Salaam au ni uelewa mdogo? daraja la Tanzanite halina umuhimu wowote ule ulikuwa ushamba wa msukuma. Huwezi kutumia zaidi Billion 700 kupitisha daraja juu ya bahari ndani ya nchi maskini kama Tanzania ambayo imejaa barabara za vumbi mikoani. Ni aibu ni ubinafsi, ni ushamba uliopitiliza.Ila darana la mto Wami kujengwa sawa! Kwa kuwa linaenda kwenu!😂😂😂😂
Mzee billion 600 ukisema uzisambaze nchi nzima unaweza usione kitachotokea.Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?
Hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
John tatizo lako haueleweki wewe binadamu, leo unaunga mkono kesho unamponda jamaa!.Naunga mkono hoja